MWAKATA KWETU
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 562
- 319
Aliyekuwa Mwenyekiti WA CDM Jimbo la KAHAMA Mjini Kamanda Juma Protas Ntahipera ameenguliwa kwenye kinyang'anyiro hicho Kwa tuhuma ya Kikiuza Chama.
Juma Protas Ntahipera alikata Rufaa kupinga maamuzi hayo ya Chama kwani anadai hakupewa nafasi ya kujitetea na hakuna ushahidi ulionyeshwa au kutolewa kuhusu tuhuma hizo.
Juma Protas amekuwa Mwenyeti takribani miaka 20+hivyo kuenguliwa kwake ni njama ya Washindani wake na kuna Fedha nyingi sana zinatolewa kutoka CCM ili kumdhoofisha .
Juma Protas Ntahipera alikata Rufaa kupinga maamuzi hayo ya Chama kwani anadai hakupewa nafasi ya kujitetea na hakuna ushahidi ulionyeshwa au kutolewa kuhusu tuhuma hizo.
Juma Protas amekuwa Mwenyeti takribani miaka 20+hivyo kuenguliwa kwake ni njama ya Washindani wake na kuna Fedha nyingi sana zinatolewa kutoka CCM ili kumdhoofisha .