JK hajafanya chochote hii ilikuwa ni nguvu ya umma ,ndio inalazimisha haya mambo kuwepo .
Baada ya kusikiliza kwa umakini saga linaloendelea sasa hivi, naona pongezi za dhati zimuendee pia JK, kwani bila yeye kuridhia sidhani kama haya yote yangetokea.
Utakumbuka kuwa kamati mbali mbali za uchunguzi za serikali ziliwahi kufanywa hapo kale, especially wakati wa Mkapa lakini zilikaliwa na hazikuufanyiwa kazi yeyote.
muda mfupi aliokuwepo JK madarakani tunaona matokeo ya kamati tofauti, na ijulikane kwamba, kuundwa kamati hii, kulitokana direct na muongozo wa JK kwa six. Nani asiyojuwa kuwa six kwa maamuzi yake binafsi asingethubutu kuunda kamati. kama ajulikanavyo ni mshabiki wa ccm hata inapokosea na kama ilivyodhihirika jana kuwa, alimtonya EL baada ya kupokea hiyo taarifa kutoka kwa kamati, na EL ndio akaona mambo mabaya na kumuandikia six kujitetea wakati ni too late. kwa misingi hiyo, ni uhakika kuwa six, alimtonya pia JK na akaambiwa weka mambo yote wazi. Na kutokana na matamshi ya JK katika hotuba zake za hivi kARIBUNI, huko pemba na Dodoma, ni wazi kabisa JK alikuwa anajuwa what is happening...
Nadhani kuna haja kubwa ya kumpongeza JK kwa ujasiri wa kubadilisha mambo haraka haraka. JK ieleweke, anamtihani mkubwa wa kuiweka sawa system. HONGERA JK, ni Rais wa kwanza Tanzania ambae tunaona kamati zake zikifanya kazi inavyotakiwa, ukianzia ya zombe, hii, tunangoja ya Buzwagi na BoT. Jee, unaijuwa system ni nini?
Mawaziri. wawe wawili au mia mbili si hoja, hoja ni Jee, wanafanya walilotakiwa walifanye?
Mawaziri. wawe wawili au mia mbili si hoja, hoja ni Jee, wanafanya walilotakiwa walifanye?
Mawaziri. wawe wawili au mia mbili si hoja, hoja ni Jee, wanafanya walilotakiwa walifanye?
Mawaziri. wawe wawili au mia mbili si hoja, hoja ni Jee, wanafanya walilotakiwa walifanye?
Mawaziri. wawe wawili au mia mbili si hoja, hoja ni Jee, wanafanya walilotakiwa walifanye?
Je unaweza kunifafanulia mchanganuo wa kumaintain waziri mmoja?
Je VX moja ni kiasi gani?
Je anapata watumishi wangapi?
Je anapata kiasi gani?
Mlinzi analipwaje?
Analipiwa nyumba kiasi gani na kodi za wananchi?
Analipwa basic salary kiasi gani?
Posho zake kiasi gani?
TOTAL NI KIASI GANI KWA WAZIRI MMOJA
x 60 ni kiasi gani?
by the way hapo hatujaongelea makatibu wakuu
Bado tuu huoni umuhimu wa kupunguza baraza la mawaziri? Ama kweli kazi tunayo yaani humu humu JF bado tuna watu kama wewe ambao mnaona sawa kuwa na baraza la mawaziri 60!
whats wrong with you people? yaani hamuwezi kutofautisha mchele na pumba?
eh!?hata akiwa na baraza la mawaziri 200 so hoja!!!? Duh! hajafanya lolote la kupewan hongera. kulikuwa na ushahidi wa kutosha tangu mwanzoni mwa mwaka jana kuhusiana na baadhi ya mawaziri wake lakini hakufanya lolote. Sasa tumpe pongezi ya nini? hata kuwafukuza kazi ameshindwa! kwa kuogopa hisani waliomfanyia ili aingie Ikulu.
Zomba sorry are you serious kwamba tunapaswa kumpongeza Kikwete kwenye hili? Kama ndivyo unachomaanisha then I beg to completely differ with you.
In my very honest JK ndio mwenye kulaumiwa kwenye hili kwani yeye ndio mwenye serikali. Infact matarajio yangu ni kwamba kama kweli JK ni muungwana basi baada ya hili sakata kwisha atatuomba radhi wananchi kwa kitendo cha serikali yake kufanya kinyume cha yale tuliyowatuma kuyafanya. Kwani tuliwapa kazi ya kulinda rasilimali za nchi yeye wamekuwa wa kwanza kuzifisadi.
Namwangalia Rais kama ndio CEO (Chief Executive Officer) pamoja na kwamba PM ndio kiongozi mtendaji wa shughuli za kila siku za serikali lakini rais ndiye anayemteua PM.Kwenye taaluma ya management inaaminika kwamba CEO ndiye anayeshape organization sasa katika hili Rais ndiye anayeishape serikali. Kwa msingi huo usipokuwa na rais makini usitarajie pia kuwa na serikali makini ni ngumu sana. JK tulimweleza sana kuhusu urafiki kazini,tulipinga sana kumteua EL kama PM kwa hofu hiyo ya urafiki kufanywa kichaka cha maouvu na haya ndio yaliyotokea sote tu mashahidi dhahiri.Waingereza wana msemo wa o 'Show me your friends then I will tell you who you are' Kwa maoni yangu kwa katiba kama hii yetu ni sahihi kabisa kusema 'Show me your government then I will tell you the kind of president you have'Matendo ya serikali yetu yanaeleza aina ya rais tuliyenaye,hawezi kupinga hili kwani ni yy ndiye anayeteua na kufukuza. Tumepiga sana kelele kuhusu EL JK akaweka pamba masikioni so kwa hili JK anahusika pia kwa kutochukuwa hatua.
Mawaziri. wawe wawili au mia mbili si hoja, hoja ni Jee, wanafanya walilotakiwa walifanye?
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, kwani huu umma ulikuwa haupo wakati wa nyerere, mwinyi na mkapa? mbona hatukuona yakitokea haya yanayotokea sasa? Hakika anastahili pongezi na bado mengine mengi yanakuja systematically.
Baada ya kusikiliza kwa umakini saga linaloendelea sasa hivi, naona pongezi za dhati zimuendee pia JK, kwani bila yeye kuridhia sidhani kama haya yote yangetokea.
QUOTE]
Namuunga mkono Zomba. JK anastahili pongezi katika hili. Sina shaka nguvu ambayo Mwakyembe alikuwa nayo kwa kuweka ripoti kama hiyo hadharani na kwa staili ile kulikuwa na blessing ya JK. Hiyo ilikuwa nafasi nzuri kwake vilevile kuondoa uozo bila mikwaruzo na swahiba wake (Uso umeumbwa na aibu, wametoka mbali, alichangia vilivyo kuwepo kwake madarakani).
Vilevile tu-acknowledge kwamba sytem nzima aliyoikuta kikwete (ya BWM) ilikuwa imeoza kwa ufisadi, rushwa na ubabe na abrupt changes zingeweza kuleta matatizo makubwa (Wakati huo). Sasa atakuwa kajipanga sawa. Ana system yake (At leat backup portion). Ni mategemeo yangu ataleta baraza dogo la utendaji na uadilifu. Sitarajii tena kuwaona Kingunge, Mungai, and the like.