TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,511
- 11,271
Mhh ila mkuu wetu katuna balaa au anashindana mlo na wife wako lol!!!
Mama naona kapunguza mlo manake siku hizi anaonekana potabo flani vile!
Mhh ila mkuu wetu katuna balaa au anashindana mlo na wife wako lol!!!
Hivi 'mabodigadi' nao pia huvaa vyuma?
Vyake vilikuwa ni vyuku zaidi!! vinasambaa mwili mzima, hivi vya jamaa naona vinakwama kifuani nini??