Kikwete amenitukana....

fAIZA UNATUTUKANA PIA.Hivi hotuba yote ya Rais ndio hii? Mengi alikuwa akiyaongezea akijaribu kudadavua/kuchanganua alichoandikiwa.Mbona suala la Katiba alilolirudia mara mbilimbili halipo hapa? Acha zako.Acha kumtetea kilaza huyu....tutakuhesabu nawe ni muasi muda si mrefu
 

Sikuwa na haja ya kuibandika hotuba yote kamili, kwenye nyuzi hii hapa kilichoongelewa ni sukari, na sukari iliongelewa kipande hicho, sasa mleta mada au kama wewe unacho kipande kama anavyosema mleta mada kiweke hapa. Msitake kutujaza ujinga usiokuwepo.
 
Faiza,hotuba haikuwa ya kuandikwa tu.Mengi aliyaongezea pia.Sukari aliitaja alipozungumzia mfumuko wa bei.Nikupe mfano:hakuna mahala kwenye hotuba iliyoandikwa ambapo Kikwete alisema walisema eti hapatatosha..sisi tunataka patoshe..Hakuna! Lakini kwenye ile iliyosikika maneno hayo yapo.Faiza,don stick to written..look for audio pia.
 
Na wewe mrudishie hivyo hivyo, si unakumbuka hata Mzeee Makamba anasema alitukanwa na kijana mmoja akiwa kwenye mkutano na askari wakataka wamkamate yule kijana ili wamshikikishe adabu, Mzee Makamba akawaambia wamuachie tu maana ameshamtukana na yeye pia, (yaani Makamba alimrudishia lile tusi) Mfano, Mjinga wewe (sijui kama mjina ni tusi ni mfano tu) kwahio na wewe unasema mjinga mwenyewe....hahahaaa hebu apply haka ka-formula toka kwa Mzee Makamba maana ukubwa dawa bhana si unaona hata Rahisi alitumia wazee
 
Wazee waliekwa kama maboya na wale akina mama kushangilia tu. Wkati ule waliambia mshahara hautapanda wakashangilia. hao ndiyo wazee tunaowategemea wamuulize Rais swali kweli?
 

Mweh!Ovyo!
 
Memo! Memory yako ni ndogo sana umechukua kipande tu cha hotuba,
Wakati akihutubia kuna kipindi alisema kuwa nchi zilizotuzunguka zinatumia chakula kutoka kwetu; alitoa mfano wa Kenya kwamba kuna waziri mmoja (hakumtaja jina) alifanya research kwenye supermarket nyingi kenya na kugundua kuwa sukari iliyoko huko ni ya kilombelo / kagera sugar n.k
Kwa sababu memory yako haiwezi kuchukua data kubwa ndo maana kuna mengine hujayachukua. Kwa nyongeza ya hapo nilikubali kuwa JK hafai pale aliposema kuwa serikali inafanya mpango wa ku-import sukari kutoka nje.... Hivi kweli hiyo ni akili? badala ya kuzuia iliyopo isitoke, serikali yake inaagiza sukari nje kwa gharama kubwa, anaendelea kuongeza matatizo mengine wakati tuliyo nayo yametuhelemea. Ikiagizwa sukari toka nje ni kero mizigo bandalini.
 
Wazee waliekwa kama maboya na wale akina mama kushangilia tu. Wkati ule waliambia mshahara hautapanda wakashangilia. hao ndiyo wazee tunaowategemea wamuulize Rais swali kweli?
Vijana wenyewe ndio hawa?

 
aaaahh FaizaFoxy, napenda maoni yako jinsi unavyo yaweka. Huwa najiuliza huyu mama/bibie kama kweli ww ni m/mke umelishwa nini, samahani nikuulize: MS ni mwalimu wako?
bibie unakaclaim maandishi sio--wenzako to read between the lines kisha tunachanganya na audio-hiyo ndiyo maana ya kwenda shule. Hivi dada ni lini utaachana na hako katabia eti watu wanamsema Rais Kikwete na sio serikali. Hivi nyumbani kwako ww kunajulikana kwa jina la nani? la mumeo, la kwako au la watoto wako? majibu unayo.

Mr.Kikwete is the Head of the State/GVT/Nation oooor you name it whatever.

Kwa hiyo mambo yakienda vizuri sifa zitamwendea yeye, ana yakiwa hovyo hovyo atasemwa yeye...umenisoma mpaka hapo bibie.

Hebu turudi kwenye hoja ya katiba: Katiba inayopigiwa kelele ni kwa ajili ya nani? kama sio WaTZ, kwanini tunanyimwa fursa ya kushiriki ktk mchakato kuanzia mwanzoni, ok, tunauhakika gani kuwa sasa maoni ya wananchi yatazingatiwa kama hapa mwanzoni tu tumepuuzwa
 
Aliongea na wazee wa Dar es salaam! Ajaribu kusema atakwenda kuongea na wanafunzi wa vyuo vikuu aone ni nini kitatokea!
 
Asante kwa ufafanuzi wako.Nadhani FaizaFoxy atakuwa ameelewa vyema.Ubarikiwe!
 
hahaahahah.....yaan kwenye huu uzi wote waliochangia wewe ndo umevunja record.. te he tehe tehe
UOTE=Memo;2856680]
hawa nao wamepanda bei sana hawa....kilo buku saba>!!![/QUOTE]
 

Kwani ni lazima ule sukari. Wenzio tunakula asali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…