Nikiwa kama mtanzania mwenye kuwa na uhuru wakutoa mawazo napenda kutumia fursa hii kutaka kuujuwa ukweli. Nimesikitishwa na utafiti ulio fanywa na Synovate nakusema eti kikwete ana ng'a kwa kupendwa na watanzania. Mim nadhani hawa ni makada wa ccm. Kwa mtu mwenye akili timamu sii rahisi kuamini uwongo huu. Kikwete amefanya nini? Kikwete huyu anayejifanya mtu wa kutaka amani na waujumu uchumi? Kikwete huyu alie tuletea Richmond na atimae kuangushwa baraza la mawaziri? Kikwete huyu alie kuwa Rais wakwanza kuwa na budget kubwa yenye matumizi makubwa ya serikali, Kikwete huyu anae ruka nje kila kukicha nakuacha nchi pasipo muelekeo, Kikwete huyu alie jaza marafiki ktk idara Muhimu huku wakiaribu na yeye kanyamaza kimya, Kikwete huyu anae shindwa kuwa nyooshea kidole viongoz wa Zanzibar wanao utikisa Muungano, Kikwete huyu mwenye maneno mazuri lakin utekelezaji hakuna. Kikwete huyu ambaye ameshindwa hata kuboresha sekta ya elimu, Afya na sekta nyingine binafsi, kikwete huyu ambaye amezid kufanya pengo kati ya masikin na tajir kuzid kuwa kubwa. SHAME UPON SYNOVATE. Naimani tukimpata Rais mwingine after Kikwete basi uwenda ataburutwa maakamani. Anazo kesi zakujibu kutokana na uzembe ktk serikal yake. Hata hvyo nazipongeza idara za usalama wa Taifa, jesh la polisi na JWTZ. Shime Mwamnyange. Mungu ibarik Tanzania.