Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,314
- 31,093
PHOTOCOPY.
Kwa wale waliokuwa wakubwa mtakumbuka kulikuwa na mashine zinaitwa za Kuburuza. Ninakumbuka kabisa katika shule ya Mwembeni pale mjini Musoma mwaka 1973 mitihani ya SHULE ZA MSINGI, ilikuwa ina 'buruzwa'.
Mwalimu anaanndika kwa mkono halafu zinatolewa nakala kwa kuburuza, sijui kwanini walikuwa wanaita kuburuza lakini Nimeona kwa macho yangu.
Shule za jirani kama Mkendo, Kamunyonge walikuwa wanapeleka kuburuza mitihani pale Mwembeni shule iliyokuwa inamilikiwa na Catholic church lakini ikawa ya serikali. Mwalimu maarufu aliyekuwa anaruburuza aliitwa Elisha Nyamaro.
Kwa wale waliokuwa wakubwa mtakumbuka kulikuwa na mashine zinaitwa za Kuburuza. Ninakumbuka kabisa katika shule ya Mwembeni pale mjini Musoma mwaka 1973 mitihani ya SHULE ZA MSINGI, ilikuwa ina 'buruzwa'.
Mwalimu anaanndika kwa mkono halafu zinatolewa nakala kwa kuburuza, sijui kwanini walikuwa wanaita kuburuza lakini Nimeona kwa macho yangu.
Shule za jirani kama Mkendo, Kamunyonge walikuwa wanapeleka kuburuza mitihani pale Mwembeni shule iliyokuwa inamilikiwa na Catholic church lakini ikawa ya serikali. Mwalimu maarufu aliyekuwa anaruburuza aliitwa Elisha Nyamaro.