mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
Picha hii weka maneno yako mwenyewe kuhusiana na Kanada kumpa zawadi ya jezi rais Jakaya Kikwete.
Bora nijipe tu moyo kuwa amebadilishana zawadi kwa yeye kutoa hilo sanduku la Zanzibar na kupewa hiyo jezi. Mtu ukijifanya kufikiria zaidi utaugua kwa hasira na aibu bure. Its just a photo no more no less!