Kikwete, akutukanaye hakuchagulii tusi!

One of the stupid presidents in the continent! Hana vision na development agenda zaidi ya kuomba kusaidiwa. HAya ndiyo matusi yenyewe! Kichwani ni caputi! Hopeless kabisa. Last week nilikuwa kwenye mkutano UK. Ile heshima iliyokuwa nayo TZ siku za nyuma hakuna tena! We are doomed ****ing nation. Dharau imezidi and we do not have a national development agenda... this time it is Brazil, Canada, US, Europe and China to scrumble for the continent's resources and countries that do have stupid leaders like Kikwete are easy going. This time we were supposed to thing how best to shape our development agenda in the context of the 2nd round of scrumble for the continent. For instance, how best are we going to benefit from the discovered oil. Mfano, ili kuondokana na upuuzi uliofanywa na mataifa kama Nigeria ya kuuza mafuta ghafi na kuagiza refined oil at high price, ni vizuri kufikiria kujenga refinary yetu Mtwana at any cost, hata kwa kukopa mifuko ya jamii, China, etc. Kuuza mafuta ghafi iwe ni 20% tu. Let's be firm as Museveni. Soko la mafuta yaliyosafishwa kwa ukanda wetu ni kubwa sana - Congo ya mashariki, Zambia, Malawi, Rwanda, Burundi, Madagasca, Zimbabwe, SA, etc. Tuache ujinga na kukumbati rushwa. Sintashangaa ujinga wa JK na serikali yake kuendelea kutembelea farasi na kupata T-shirts na suti kwa kuuza nchi yetu. Elimu ya bure, maji, matibabu, etc vinawezekana kwa viongozi wenye vision, si Kikwete na CCM ya sana!
 
Viongozi wa ulaya wanapo kuja hapa kwetu alafu sisi tunawapa vibyago wakati wao wameleta mabilioni ya hela za msaada hapa inakuwaje?
Vinyago vibyago tu vya Masai kashika mkuki n.k.
Hii ni aje!

Jezi hio ni symbolic tu, acheni chuki za kifala hizo.

wewe ni mmoja wa wale wasiojua linaloendelea hapa duniani. Ungekuwa unazunguka na si kupokea kanga, vitenge na kofia ungejua! We are doomed my friend na kila nchi kwa sasa inajitahidi kuchukua chake pale inapowezekana. Statistics zinatisha sana! In tyeh first place, there is no free lunch on this earth. Yaanni kati ya nchi zilizopokea misaada mingi Afrika, Tanzania ni namba moja, ikifuatiwa Msumbiji, Uganda na of the recent, Ethiopia. Lakini of all these nations, Ethopia tu ndio inayoonekana kuvuka kwenda mbele, na hii ni kwa sababu ya visionary leadership ya Zenawi. The rest ziko mwisho kwenye umaskini, rasilimali za nchi zinapotea na rushwa imetawala! See what Barrick has done to Ole Naiko. Do you think they did it by mistake. Let's open up na tuache kufikiria kwa makalio. HATUNA UONGOZI WENYE VISION, period.
 
Dah,huyu jamaa ni janga la kitaifa wallah...yaani anapewa pampasi anakenua menooooo.

dah u made ny day nimecheka mpaka na kujionea huruma kuwa na raisi kama huyu.... sijui mkuu anapitagapitaga huku kuona watu wanvyo mpercieve....¿
 
ni shukrani kwa JK kwa kuiwezesha canada kutanuka kiuchumi kwa madini yetu
 
Big up kikwete
sasa mlitaka mnaona picha anapewa vipande vya dhahabu kama nani hii
alichofata fuatilieni kwenye habari
picha za mikataba ya ushirikiano imewekwa
zawadi ya jezi ni zawadi tu ya kama sisi wakija tunawapa vinyago au picha za wamasai
ukweli kikwete ana kubalika sana nje
ni kiongozi mkomavu na msatahamilivu sana
ameonesha nia njema kabisa kwa nchi hii
kuwawezesha wananchi kujadili katiba na hio katiba ipitishwe kwa kupigiwa kura na wananchi
hili jambo linataka moyo sana
walomtangulia hawakuwa na ubavu huu , hata nyerere hakuthubutu aliangalia zaidi nguvu zake kama rais,
kuna vitambulisho vya taifa ...vimekuwa vikipigwa dana dana tokea enzi za juliasi
mikataba ya madini sasa inafanyiwa mabadiliko
stakeholders wametakiwa kuchangia katika sera ya secta ya mafuta na gas
yaliotokea zanzibar peke yake inatosha kuonesha namna gani kikwete amekomaa
kule zanzibar chaguzi zote kabla yamapinduzi 1961 watu waliuana
1963 watu pia waliuna
1964 mapinduzi yaliua watu karibu 25% ya watu wa visiwa hivyo
miaka minane 8 baadae watu wakipotea kila siku
1995,2000,2005 miaka yote hii watu wamebakwa na kuuliwa zanzibar
lakini mwaka 2010 ambapo yeye alikua rais hakuna hata mdudu hakuguswa
watu wamepatana
yalimshinda nyerere ya zanzibar katika miaka yote ya uhai wake..kwani hakua na nia nzuri na visiwa hivi
kikwete kwa hili tu anastahili NOBEL PEACE PRICE kwa hakika
he is more than what you think of him..
 
Mwanaaaaa eeenh, bora vita ije kila mtu achukue chake.......!

Hizi ni kauli za vijana maskani.... kila wakati!

Kibanga Msese
 
o9.jpg

"Si afadhali mngeninunulia suti kama wenzenu, kwanza hii jezi kubwa kwangu, halafu mie Yanga, sio Simba. Ilikuwa mumpe raisi mstaafu nini?"
 
Back
Top Bottom