akwino laurent
Member
- Jun 29, 2012
- 17
- 2
kikwete big up,najua tutalalamika sana lkn.........
![]()
Picha hii weka maneno yako mwenyewe kuhusiana na Kanada kumpa zawadi ya jezi rais Jakaya Kikwete.
Kiwete kapewa jezi ya kichina wakati yeye katoa sanduku exclusvely handmade lenye nakshi za dhahabu
Mmmh mi nahisi aibu kwa hiki kitu
Nilikuwa nimeacha Laptop Mezani, akaja First born (8 years old) wangu kuichezea chezea, Bahat Mbaya ndo kwaanza nilikuwa nimefungua hii Thread, ile kuona hiyo Picha ya Mkwe.re na Jezi akauliza Baba huyo ndo Mafisango na Kocha wao Mpya????
Nimejisikia aibu saaaaaana japo Simkubali Mkwe.re na CCM
Global touristUkiachia Vyomba vya usalama kuilinda CCM kwa gharama yoyote, CHADEMA wana kazi rahisi sana 2012.
Naye Hamtambui Mkwer.e kama Rais wakeYaani 8 years hajui picha ya Rais wake? anasoma shule?
Kiwete kapewa jezi ya kichina wakati yeye katoa sanduku exclusvely handmade lenye nakshi za dhahabu
nimefikiri sana kuhusu rais wetu,nimegundua huenda sisi ndo hatumuelewi