Kikwete, akutukanaye hakuchagulii tusi!

inabidi tuwe makini sana na hii gesi,naona dalili si nzuri kabisa.

Nakubaliana nawe kabisa, na ndiyo maana taarifa ya benki kuu ya Uswisi, walisema zile shilingi bilioni 315, zilizofichwa kwenye mabenki ya huko, na vigogo wa nchini kwetu, ni pesa zilizowekwa na makampuni yanayotafuta gesi na mafuta hapa nchini!!
 
"Mtu ana chupa na wewe una almasi anakupa chupa unampa almasi halafu unakenua meno kama zuzu" Nyerere aliona mbali sana...

Gene ya Mangungo at work...Jamaani laana ya mababu isipotuondoka basi hatuwezi kujikomboa aise!
 
Ahsante kwa kunijuza ila linakuja swali jingine.. Jee kupewa jezi kwa Presidaaa kuna uhuciano gani na PM..? Hiyo timu inamilikiwa na na huyo PM..? Au ndio timu pekee hapo Toronto..?
Harper has no ties to TFC whatsoever, if anything I'm willing to bet that his attitude towards Football in general is a typical North American view that 'Soccer is gay'.

The way I see it is that they know that JK has an appreciation for Football and it just happens that out of the three Canadian teams that play in the MLS, Toronto FC is the most established. Just as we give them vinyago and all those types of things maybe they figured he would appreciate a soccer kit more than maple syrup.

Plus if that is all it takes to get a fast access to some gold, heck if I'm the Canadian PM I would give him all the kits he wants.Admittedly it does look a bit silly.

The impression you get from looking at the picture is that of someone having having a joke played on them without them having a clue.
 
Labda people from the future wanaweza tafasir hii picha...binafs naona ni zaidi ya tunavyofkir sis, cjawahi ona rais wa nchi nyingine akipewa zawadi kama hizi, kumbuka jez ya Madrid anyway this was ok bcoz alitembelea timu ya mpira!....but why this now in Canada, by the governor, wat is behind jez,......"Naogopa ban kusema zaid"
 
o9.jpg

Picha hii weka maneno yako mwenyewe kuhusiana na Kanada kumpa zawadi ya jezi rais Jakaya Kikwete.

Mlichosahau kusoma ni maelezo ya juu kwenye jezi "All in One". Yaani yeye anafiti kokote kule, hata kuwa rais wa Kanada.

Any way, kusema ukweli hawakukosea kumpa Jezi maana si siri ni Rais mpenda michezo na kauendeleza na kuuhamasisha sana mpira wa miguu. Anastahili sifa na kupewa Jezi.
 
Maana halisi ya jezi hiyo ni kwamba sote tuko pamoja,lakini rangi yake nyekundu katika sehumu kubwa ya mwili maana yake ni damu tupu (maasi) na mikononi ile rangi nyeusi ni ule uafrika ambao unamaanisha ntaji wa maskini uko mikononi na si katika sehemu nyingine yoyote ya mwili.Namba 12 inamanisha ndani ya miezi 12 ijayo ubapari utakuwa umekomaa na wakanada pekee ndio wataifadhi hazina yote ( pichani box la dhahabu juu ya meza iliyofunikwa na meza yenye kitambaa cheupe kinachomaanisha uwazi).Huyo mzungu anaonekana kama vile amepata kile acholitegemea kwani ushaidi haupo ( bendera ya Tanzania) ambacho alikitafuta kwa takribani karne 12.Kwa mh. president wetu yeye ana wasiwasi wowote kwani anaonekana kukipata kile ambacho siku nyingi alikuwa anakitafuta kwa watanzania.Kiukweli picha ni nzuri sana na iko kisanii haswa ukizingatia Mh. si wa kudanganywax2 hovyo na wazungu in fact anauchora weu wao tu.
 
Nawalaumu wanaompiga na kushare in public picha za kipuuzi kama izi
To me izo picha ni za kushare na familia yake tuu period
ILa usikute nae anapenda pewa vizawadi kama ivyo si unajua aliwai pokea ata SUTI
 
Back
Top Bottom