Poor ua brain, Rich Kikwete!
What exactly did you mean pusher?
Poor ua brain, Rich Kikwete!
Rais Kikwete kafanya makubwa kwa nchi hii. Tutamkumbuka daima
Sababu hizi na nyingine ndo zinazofanya uchaguzi wa mwaka huu kuwa na watia nia wengi WAMEGUNDUA KUWA KUMBE URAISI NI RAHISI
What exactly did you mean pusher?
UKAWA uniteD vyama kibao vinataka kutoa mgombea mmoja wa kwenda Ikulu teh t3h teh teh
Hivi hapo amefanya au 'kakabidhiwa'!?Rais Kikwete kafanya makubwa kwa nchi hii. Tutamkumbuka daima
Ni kweli kwa kushusha uchumi kutokea budget ya dola bilion 10 mwaka 2005 mpaka dola bilioni 9 mwaka 2015.
Hongereni sana wana CCM, tuambieni reserve BOT iko kiasi gani???
Hivi hapo amefanya au 'kakabidhiwa'!?
Do you still believe on 'free lunch in town...!?
Mazuzu tu ndio wataendelea kuamini lakini ukweli ni kuwa lile deni hili linaongezeka kwenye ile 850,000/- ambayo kila Mtanzania anadaiwa. Tena hiyo 850,000/- ni kabla ya hiyo $800m waliyokopa jana!
Baada ya kuona reserve inakaribia sifuri wameamua kwenda kukopa $ 800m kureplace, hao ndio wachumi wetu. Kwa gear hii ni kweli huwezi kujua ni kwa nini nchi ni masikini.Ni kweli kwa kushusha uchumi kutokea budget ya dola bilion 10 mwaka 2005 mpaka dola bilioni 9 mwaka 2015.
Hongereni sana wana CCM, tuambieni reserve BOT iko kiasi gani???
Ficha upumbavu wako hizi siasa za ukawa ni maji marefu! dude concentrate kwenye unga wako!
None of ua B, WEWe umekopa ngapi?
Kuchanganyikiwa sio lazima uvue nguo!
Baada ya kuona reserve inakaribia sifuri wameamua kwenda kukopa $ 800m kureplace, hao ndio wachumi wetu. Kwa gear hii ni kweli huwezi kujua ni kwa nini nchi ni masikini.
Mimi naweza kukopa ili ninunue pembejeo, shamba au mifugo lakini siwezi kukopa kwa ajili ya kulipa mahali au kupata pesa ya ngoma!None of ua B, WEWe umekopa ngapi?
Dola laki tatu? Hivi gari analotembelea Mosha ni bei gani vile? Mtoto wa Bakhresa je? Hizo ni SHANGINGI mbili tu.
UKAWA politcs is like mkia wa mbuzi, matumbo mbele wananchi kesho dont be poor because your poor! 230 ml per Mp UKAWA included still huoni? Ua Idiot!
tuambieni Ruzuku UKAWA iko kiasi gani?
Mchuma wa Diamond, the Platinamuz, alipewa na mpenziwe Zari ni T.Shs. 500,000,000.
Ulizaliwa kwa bahati mbayaView attachment 261683