macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,232
- 60,335
Wananchi wenzangu tunaojiuliza 'kulikoni raisi aanguke' naomba tujadili kwa dhati ya mioyo yetu kabisa na tutake majibu mazuri kabisa na kutoa ushauri na wanaopokea ushauri wautendee kazi. Ifike mahali taaluma za watu zifanye kazi na kazi hiyo ionekane. Watu waliopewa dhamana ya kuwa karibu na raisi waache mzaha na mambo ya kawaida tu. This is serious.
Mwaka 1997, Raisi Kikwete alipokuwa waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, alizidiwa ghafla na kuanguka uwanja wa ndege wa Brussels, Ubeligiji akiwa safarini kuelekea nchini Cuba.
Mwaka 2005 katika kampeni, alizidiwa hapo hapo viwanja vya Jangwani Dar Es Salaam na kuanguka ghafla ikabidi kupatiwa huduma ya dharura.
Raisi aliwahi pia kuanguka mjini Mwanza.
Majuzi hivi amepatwa na dharura ya kuishiwa nguvu.
Leo kuanguka tena Jangwani ni tukio la ngapi, la tano, hadharani, hatuna uhakika na ambayo hatujayaona.
Wananchi tulipodai kupatiwa taarifa ya afya ya raisi wetu, baadhi ya watu na watendaji walidhani ni kebehi au kutaka udadisi usiokuwa na sababu, wakasahau kuwa Wananchi ni waajiri wa Raisi na wanapokuwa na wasiwasi juu ya usalama wa afya ya Raisi wao, pia hukumbwa na kiwewe na maneno mengi yakasemwe 'ndivyo sivyo', hatimaye kilio chetu kilisikika, na daktari wa Raisi akazungumza. Kama tulivyo wengi, na mapokeo yalikuwa mengi, wapo waliohoji undani wa ripoti ile kuwekwa hadharani na wapo waliohoji ni kwa nini ifichwe.
Wanaotunyima kujua hali ya afya ya raisi wanashindwa kuelewa kuwa wanajidanganya wenyewe, wanatudanganya sisi na wanamdanganya raisi, mwishowe tumebabaishwa tu.
Mimi si daktari wala mshauri wa Raisi, ila kwa mtizamo wangu na kwa vigezo vya fani yangu, nitasema Raisi anahitaji Mtaalamu wa Saikolojia. That's what he needs right now. Nifafanue. Mtu yeyote anapokumbwa na tatizo ambalo ni vigumu kulikabili (out of control) mara nyingi tatizo hilo huwa kama jinamizi kwake, na aghalabu jinamizi ni hali ya kuteseka kisaikolojia kwa woga na hofu ilyiopindukia (exaggerated fear), hii hutokea punde tu unapokuwa katika mazingira yale au yanayofanana na yaliyosababisha ukapatwa na tatizo uliloshindwa kulikabili. Hivyo ni dhahiri kuwa utakapokwenda kwenye eno lile lile, utakumbwa na mfadhaiko na woga na hofu yako itakutawala na utajikuta umeangukia tatizo lile llile (succumb to the same problem). Hali hii ndiyo inayowapata hata watu wenye kifafa, akiwa katika mazingira fulani ndipo anaanguka au kuweweseka. Linawapata pia watu wenye phobia. Na tTatizo la saikolojia kuliondoa linahitaji mtaalamu wa Saikolojia.
Nimemaliza!
Fake, fake, fake....
Nchi inaongozwa kama mchezo wa mieleka.
Hatutakiwi kujadili tukio la kudondoka kwa bwana mkubwa.
Kwa sababu kudondoka mtu yeyote anaweza dondoka.
Hawa jamaa hawana la kutuambia coz hakuna la maana walilofanya.
So mimi nina imani kuwa ishu kama ile ya kudondoka inapangwa kwa makusudi ili tu watanzania wasahau ya maana na kukaa wakitafakari na kujadili yasio na umuhimu kama thread hii inavyofanya.
Tunachotakiwa ni kusahau kudondoka kwa Mkuu na kuendelea mbele na kuhoji nini madiwani, wabunge na Rais wamekifanya ili kujikwamua kutoka ktk baa la umasikini.
Na si kukaa kujadili sijui Jangwani kuna upako, au sijui ooh walitakiwa wamuache palepale chini wasimuinue, au sijui alvyoanguka aliangukia kisogo.
Hayo yoote hayana umuhimu.
Watanzania msipumbazwe tena, kumekucha sasa kueni macho na watu wanaochezea akili zenu.
Tumeshashuhudia hawa jamaa wakituongoza kwa style ya skendo kila kukicha.
Mfano:
Wiki hii tunafuatilia swala la Richmond.
Basi watanzania woote akili zetu na mijadala yote inakuwa juu ya Richmond.
Kisha kabla Richmond haijapatiwa ufumbuzi wanafumua la Kagoda.
La kagoda halijaisha wanafumua ufisadi ktk stendi ya mkoa iliyopo hapa Dar.
La stendi ya mkoa halijaisha wanafumua EPA.
La EPA halijaisha wanakurupusha la vijisenti,
Vijisenti halijaisha linakuja la mahakama ya Kadhi.
La Kadhi halijaisha linakuja la Yona na Mramba kupandishwa kizimbani.
Hilo nalo halijaisha linakuja la serikali ya mseto ya wazanzibari.
Kama hiyo haitoshi linapandishiwa jingine la Liyumba wa BOT.
Mara linakuja lingine, mara lingine, mara lingine.......
Na mpaka leo hii watanzania hawajui hata waanzie wapi.
Watanzania hizi danganya toto mpaka lini?
Amkeni jamani hawa jamaa wanawachezea akili jamani...chonde chonde
Ni aibu kwa chama kama CCM kuzindua kampeni kisha kushindwa kutoa mikakati yake ijayo.
naona na wewe umeleta ya kwako ili tuache kuhofia afya ya mkuu wanchiFake, fake, fake....
Nchi inaongozwa kama mchezo wa mieleka.
Hatutakiwi kujadili tukio la kudondoka kwa bwana mkubwa.
Kwa sababu kudondoka mtu yeyote anaweza dondoka.
Hawa jamaa hawana la kutuambia coz hakuna la maana walilofanya.
So mimi nina imani kuwa ishu kama ile ya kudondoka inapangwa kwa makusudi ili tu watanzania wasahau ya maana na kukaa wakitafakari na kujadili yasio na umuhimu kama thread hii inavyofanya.
Tunachotakiwa ni kusahau kudondoka kwa Mkuu na kuendelea mbele na kuhoji nini madiwani, wabunge na Rais wamekifanya ili kujikwamua kutoka ktk baa la umasikini.
Na si kukaa kujadili sijui Jangwani kuna upako, au sijui ooh walitakiwa wamuache palepale chini wasimuinue, au sijui alvyoanguka aliangukia kisogo.
Hayo yoote hayana umuhimu.
Watanzania msipumbazwe tena, kumekucha sasa kueni macho na watu wanaochezea akili zenu.
Tumeshashuhudia hawa jamaa wakituongoza kwa style ya skendo kila kukicha.
Mfano:
Wiki hii tunafuatilia swala la Richmond.
Basi watanzania woote akili zetu na mijadala yote inakuwa juu ya Richmond.
Kisha kabla Richmond haijapatiwa ufumbuzi wanafumua la Kagoda.
La kagoda halijaisha wanafumua ufisadi ktk stendi ya mkoa iliyopo hapa Dar.
La stendi ya mkoa halijaisha wanafumua EPA.
La EPA halijaisha wanakurupusha la vijisenti,
Vijisenti halijaisha linakuja la mahakama ya Kadhi.
La Kadhi halijaisha linakuja la Yona na Mramba kupandishwa kizimbani.
Hilo nalo halijaisha linakuja la serikali ya mseto ya wazanzibari.
Kama hiyo haitoshi linapandishiwa jingine la Liyumba wa BOT.
Mara linakuja lingine, mara lingine, mara lingine.......
Na mpaka leo hii watanzania hawajui hata waanzie wapi.
Watanzania hizi danganya toto mpaka lini?
Amkeni jamani hawa jamaa wanawachezea akili jamani...chonde chonde
Ni aibu kwa chama kama CCM kuzindua kampeni kisha kushindwa kutoa mikakati yake ijayo.
Alinifurahisha alivyorudi ulingoni kwa mara ya pili.Nilimuona kama mcheza mpira fulani mashuhuri. hata kupepesuka au kuyumba au hata kuanguka.Unasimama na kuendelea na mapambao.Ipo hiyo wa JF. JK anatisha. fagilia waaa waaaa..Na bado hawamuwezi tena.ni kwa kishindo tu hiyo ndiyo dawa.
any way.mlitaka aseme sera zake ni kipi atafanya awamu ijayo ili muige.si umesikia akisema,wengine kazi yao kutoa copy.kwa maana nyingine wanajikongoja.muacheni hadanganyiki.waanze na wao hao wanaompinga tuone kama wana nyimbo. pengine wana ngonjera tu mmmmm.:clap2:
......ishu sio kwamba wasanii wanakikubali CHAMA ..... JK ameshaongea na don wa wasanii ..CLOUDS ...hakuna msaniii ambaye CCM itamtaka akatumbuize imkose....wanawalipa vizuri...na wanawapa deal nyingine ie malaria no more!!!
...siku wakipanda chadema au CUF ....kama kuna msanii atakayedhubutu kupanda basi ni wale ambao ....wameshajitoa muhanga......kama kina mkoloni,john walker,etc ambao hawapo kwenye ufalme wa ruge na kusaga!!
Wananchi wenzangu tunaojiuliza 'kulikoni raisi aanguke' naomba tujadili kwa dhati ya mioyo yetu kabisa na tutake majibu mazuri kabisa na kutoa ushauri na wanaopokea ushauri wautendee kazi. Ifike mahali taaluma za watu zifanye kazi na ionekanemk. Watu waliopewa dhamana ya kuwa karibu na raisi waache mzaha na mambo ya kawaida tu. This is serious.
Mwaka 1997, Raisi Kikwete alipokuwa waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, alizidiwa ghafla na kuanguka uwanja wa ndege wa Brussels, Ubeligiji akiwa safarini kuelekea nchini Cuba.
Mwaka 2005 katika kampeni, alizidiwa hapo hapo viwanja vya Jangwani Dar Es Salaam na kuanguka ghafla ikabidi kupatiwa huduma ya dharura.
Raisi aliwahi pia kuanguka mjini Mwanza.
Majuzi hivi amepatwa na dharura ya kuishiwa nguvu.
Leo kuanguka tena Jangwani ni tukio la ngapi, la tano, hadharani, hatuna uhakika na ambayo hatujayaona.
Wananchi tulipodai kupatiwa taarifa ya afya ya raisi wetu, baadhi ya watu na watendaji walidhani ni kebehi au kutaka udadisi usiokuwa na sababu, wakasahau kuwa Wananchi ni waajiri wa Raisi na wanapokuwa na wasiwasi juu ya usalama wa afya ya Raisi wao, pia hukumbwa na kiwewe na maneno mengi yakasemwe 'ndivyo sivyo', hatimaye kilio chetu kilisikika, na daktari wa Raisi akazungumza. Kama tulivyo wengi, na mapokeo yalikuwa mengi, wapo waliohoji undani wa ripoti ile kuwekwa hadharani na wapo waliohoji ni kwa nini ifichwe.
Wanaotunyima kujua hali ya afya ya raisi wanashindwa kuelewa kuwa wanajidanganya wenyewe, wanatudanganya sisi na wanamdanganya raisi, mwishowe tumebabaishwa tu.
Mimi si daktari wala mshauri wa Raisi, ila kwa mtizamo wangu na kwa vigezo vya fani yangu, nitasema Raisi anahitaji Mtaalamu wa Saikolojia. That's what he needs right now. Nifafanue. Mtu yeyote anapokumbwa na tatizo ambalo ni vigumu kulikabili (out of control) mara nyingi tatizo hilo huwa kama jinamizi kwake, na aghalabu jinamizi ni hali ya kuteseka kisaikolojia kwa woga na hofu ilyiopindukia (exaggerated fear), hii hutokea punde tu unapokuwa katika mazingira yale au yanayofanana na yaliyosababisha ukapatwa na tatizo uliloshindwa kulikabili. Hivyo ni dhahiri kuwa utakapokwenda kwenye eno lile lile, utakumbwa na mfadhaiko na woga na hofu yako itakutawala na utajikuta umeangukia tatizo lile llile (succumb to the same problem). Hali hii ndiyo inayowapata hata watu wenye kifafa, akiwa katika mazingira fulani ndipo anaanguka au kuweweseka. Linawapata pia watu wenye phobia. Na tTatizo la saikolojia kuliondoa linahitaji mtaalamu wa Saikolojia.
Nimemaliza!
Ha ha ha
Mkuu Nyambala, the guys wa PSU are so distinct utawaona bila kuuliza
1 Kaunda suit nyeusi au kijivu
2 wanamapanki
3 wote viuno vimetuna(silaha)
4 kutokana na mazoezi nafikiri wote ni weusi tii
Bahati mbaya kuna wenye vitambi uchwara, wangeshauriwa wabadili muonekano, you can smell them a mile away.
Mkuu hapo umenikuna haswa.Naona umetoa jibu kwa reference ya picha.Ujumbe mzito sana huo...ANGAZA.
Yaani Mganyizi, kwa mara ya kwanza, hasa kuhusiana na maswala ya kisiasa, nakubaliana na wewe asilimia mia.
Umenena
ICHONDINakubaliana na wewe kuwa CCM watazipata kura, wote waliohudhuria Jangwani leo wawe chadema au cuf au independent watajikuta wanaipigia CCM kura, manake muungwana kwa kuanguka kwake kamaliza kila kitu.
Wengine tunajadili afya ya rais wetu wewe huna hata habari unaongelea Jazz band tuuuuu kwani walikwenda kushindana ugobogobo jangwani. Nyie ndio huwa hammtakii mema rais huku mkijidai mnampenda.VIJANA JAZZ BAND...NAO WALITUMBUIZA....ukiacha kina BITCHUKA.....NA WENGINE KIBAO....KWA KWELI WASANII WENGI WANAKIKUBALI HIKI CHAMA.........aaaaaahh nilitaka kusahau.. CHEGE NA MHESHIMIWA TEMBA NAO WALIKUWEPO HASA NYIMBO YAO YA MKONO MMOJA WEKA JUU...WEKA JUU....... it was colourful day for CCM SUPPORTERS.......!
Kuna kitu kimejificha katika hali halisi ya afya ya rais wetu na hii si haki kwa wapiga kura, in kutoaatakiwa tuelebazwe kinaga ubaga kwamba ana matatizo gani kuhusu afya yake? Alidondoka jangwani wakati wa kufunga kampeni hapohapo, alianguka Mwanza alipoalikwa na maaskofu. Ingekuwa vyema wasemaji wa chama hiki watuambie ukweli ikizingatiwa kwamba rais wa nchi ni mtaji wa nchi tunatumia gharama nyingi sana katika chaguzi hizi sasa inapotokea tunawekeza kwenye afya yenye utata kwa kweli sio haki kwa uchumi wetu na maendeleo ya nchi.