Kikwete aagiza misafara yake ya kwenda nje kupunguzwa

Wabongo mimi hata siwaelewi,sasa badala ya kupongeza huu uamuzi lakini tunaendelea kuponda tu!Hv unaposema too late unamaanisha nini hasa?Kwamba tulipofikia sasa hatuwezi kujinyanyua tena kiuchumi au vp?Jamani hebu wakati mwingine tuwe tunampongeza huyu jamaa ingawa kwa ukilaza hata mimi nakubali mshikaji yumo pia!!
 
Ninampongeza kwa hilo suala ingawa limekuja too late. Na sasa angalie uwezekano wa kufuta na kuondoa kabisa wabunge wa viti maalumu pamoja na wale wakuteuliwa na raisi. Wabunge hawa ni mzigo mkubwa usio na faida yoyote kwa umma. Na la mwisho pia angalie uwezekano wa kupunguza idadi ya wafanyakazi kwenye maofisi ya mabalozi nje ya nchi. Ni wengi mno kiasi kwamba wengi wao hawana kazi za kufanya zaidi ya soga na majungu.
 
..this has come 6 years too late!![/QU The ricule abt this ni kwamba,it seems hakubali kwamba ni yeye ndo mhusika na siyo wasaidizi,na apunguze safari na siyo jopo tu,km Davos,angehesabu viongozi wengine wenye majukumu waloenda,siyo kumaliza tu pesa zetu,ONDOA SAFARI YA NJE! Hazina tija ndugu,hakuna atakayekupongeza kwsbb ni wajibu wako kufikiria,ina maana wasaidizi wakishauri ahamie akaishi marekani akija ofisini bongo atakubali? Acha kutowajibika,hilo ni lako siym wasaidizi!
 
I am happy that atlast our president kakubari kuachana na ushauri wa chama chake na anajaribu copy and pest hoja,mitizamo na maoni ya CDM..remember ktk hotuba ya bajeti ya opposition part pendekezo hili limehainishwa vyema..thankx God that mkwele ameanzaelewa that pana madini CDM..m sure mpaka 5yrs zikwishe CDM will be the rulling part kwa mwongozo..alianza na katiba mpya,anaelekea kwenye posho..
 
Baada ya kujuimishwa kwenye no fly list. Jamani tunakuwa wazito ku focus reality.
 
Mnafiki mkubwa! Aache kebehi.

Leo ndo ameliona hilo? Anajikosha, anatafuta gia yakuingilia bongo baada ya speech yake kukosa mvuto DAVOS.
 
Tatizo juu ya tatizo....ishu sio kupunguza msafara bali ni kupunguza safari kabisaaaa if possible asisafiri tena kwani hiyo ndege haitumii maji ni jet fuel hiyo anayoteketeza....nadhani ajifunze kutoka kwa SATTA wa ZAMBIA japo bado lakini ameonyesha vision na mission ya uongozi wake ambao hauwezi kua mzigo kwa walipa kodi wake....hivi JK akiwa anatembelea vijijini akiziona shule za msingi alizoziacha NYERERE zikiwa hoi yani ni mabanda ya utadhani...... anajifikiriaje? km kweli ni mzalendo kwanini hizo safari zake anazofuja aasingeweza kujenga shule za msingi zinazobomoka kweli? jk...better late than never.....time is now baba nadhani umeshalidhika na viwanja vyooooote vya duniani tutengenezee TZ yetu
 
Oh me ! why dont we walk on solid earth and fail to effect living communication?
 
hata kama ni hatua iliyochelewa bado Jk anasitahili kuungwa mkono kwa uamuzi huu kuliko angacha hali hiyo iendelee
 
katika magazeti ya leo kuna habari inayosema kikwete aagiza wanaoratibu misafara yake kwenda nje ya nchi kupunguzwa.
Mytake
1. Hivi ni kweli alikuwa ajui kuwa misafara yake ni mikubwa?
2. Kilio cha wananchi kimekuwa yeye kusafiri mara kwa mara nje ya nchi
3. Je kwa hilo agizo lake litakuwa mwarobaini kwa kilio cha wananchi?

Jamani wenye akili na wafuatiaji suala la misafara ilishazungumzwa na wakasema atapunguza sasa leo hii imefika saa moja usiku karibu na kulala ndo ataacha, achekwe???
 
Back
Top Bottom