Kikwete: A Failure in Leadership - National Vision and Dream Defaulted



For now however, Kikwete has proven to be a failed Leader and under him and his political party the nation's dream and ambitions have continued to be defaulted. Looking at the current alternatives the situation is becoming more dire with the passing of each new day! Where lays our hope?

IS IT TOO LATE?​
Mzee, YES, it is TOO LATE to make JK resign because he has already put things apart, but NOT TOO LATE to RE-COLLECT and RECONFIGURE our ISSUES for the sake of making our country a better place to live.
 
I have read all postings made to this thread. I am still new to this forum but I never experience such a useful thread in my life here. I totally agree to points discussed on postings made. Thanks to Mzee Mwanakijiji, Mwanafalsafa and those contributed in the thread.

We all agree that we made some deadly mistakes sometimes back there. Just to know that is a useful steps towards correcting them. We don't need to be conned again. We must know that a change is not something that will come easily. We must also know that it will take sometime and the price to pay is huge.

Since we are able to be a catalyst of that change lets then start our campaign. Lets mobilize and influence our fellows to make some good choices in the future. We must remember that "a journey of 1000 miles starts with only one step". I must say thanks again with the postings course they really made my day
 
ii doubt and still think few Tanzanians are for change but majority are there not even dreaming for a change will one day happen in this country.
 
Kila kitu au jambo linalotaka kufanyika au kutimizwa lazima awepo kiongozi na wahamasishaji, Jaman wananchi mtaani walio wengi wanasubiri mtu wa kuhamasisha maandamamo ya kimapinduzi.

Hali ya maisha imekuwa ngumu sanaa, sanaaa sanaaa imagine bidhaa kama mafuta ya taa imefika 2000 kwa lita hili ni balaa kwani wananchi wengi hawawezi kumudu gharama za mkaa na gesi sasa kimbilio lao la umeme ndo huo nao haupo.

Ukiachilia gharama kama mkate, mchele, unga, maharage na nafaka nyinginezo yaani kila kitu kimepanda.

Imagine, hii hali inamkumba mtu wa aina moja tuu naye ni mtu wa kipato cha chini ambaye kwake milo mitatu kwa siku kwake ni anasa, jaman tumesalitiwa na viongozi wetu.

My take:
1. presidar hawezi kujiuzuru kwa hiari mpaka kinuke
2. Kwa jinsi navyoona mwelekeo wa wanasiasa wa upinzani itakuwa ngumu kumobilize mapinduzi nchi nzima kwani kunawasaliti ndani yao.
3. Vyama vya kilaia na wapigania haki za binadamu waungane kuhamasisha mapinduzi.
 
Kila kitu au jambo linalotaka kufanyika au kutimizwa lazima awepo kiongozi na wahamasishaji, Jaman wananchi mtaani walio wengi wanasubiri mtu wa kuhamasisha maandamamo ya kimapinduzi.

Hali ya maisha imekuwa ngumu sanaa, sanaaa sanaaa imagine bidhaa kama mafuta ya taa imefika 2000 kwa lita hili ni balaa kwani wananchi wengi hawawezi kumudu gharama za mkaa na gesi sasa kimbilio lao la umeme ndo huo nao haupo.

Ukiachilia gharama kama mkate, mchele, unga, maharage na nafaka nyinginezo yaani kila kitu kimepanda.

Imagine, hii hali inamkumba mtu wa aina moja tuu naye ni mtu wa kipato cha chini ambaye kwake milo mitatu kwa siku kwake ni anasa, jaman tumesalitiwa na viongozi wetu.

My take:
1. presidar hawezi kujiuzuru kwa hiari mpaka kinuke
2. Kwa jinsi navyoona mwelekeo wa wanasiasa wa upinzani itakuwa ngumu kumobilize mapinduzi nchi nzima kwani kunawasaliti ndani yao.
3. Vyama vya kilaia na wapigania haki za binadamu waungane kuhamasisha mapinduzi.
Nakubaliana na analysis yako ndg Killuvya.
 
Back
Top Bottom