Alikuwa na akili nyingi sana.
Leo nilikuwa nasoma story ya quotes za Abdul Lateef Jandali wengi tunamjua kama Steve Jobs. Jamaa alikuwa na akili na maono sana
Mwamba albet
Duh dadekTesla ni mwanasayansi aliyefanya mahesabu ya kusafirisha umeme bila kutumia wire. Alipokufa hakuna hata mwanasayansi mmoja aliyeweza kuprove hesabu zake hadi leo
Mbona mimi nipo na unijuiBinafsi ni mfuasi wa life la huyu jamaa nikisoma wasifu wake adi najishangaa jamaa alikua nondo Balaa asa nimejiuliza kizazi chake bado kipo? Je imetokea specie nyingine kama yake? Vipi taarifa zake zipo?
Sema kwa sasa hivi wanategemea sana mitambo na mahesabu ya kompyuta na team working za wanasayansiMkuu watu bado wanaendelea kuvumbua na kuchallenge hadi theory zao. Mfano kuna ugunduzi kuhusu black holes ambao una defy theory za Einstein.
Wagunduzi bado wapo na mambo yanaendelea kugunduliwa mkuu.
HUKU CCM TUNATAKA WANASANYANSI WALAMBA ASALI TU NA MAPROFESA MACHAWA sasa kama wewe ni profesa chawa nyosha mkono juu tukulambisha asali ili tukutumie kwenye korasi ya wimbo wetu wa machawa wa" mama anaupiga mwingi"Angekuwa mweusi angepigwa chini na weusi wenzake kwani hawapendi ukweli. Angalia alisahau mambo ya familia ili alete maendeleo ya Dunia. Niwashauri hasa wakristu, huyu ndiye anastahili kuitwa "mtakatifu"
Albert BanduraAkina Albert wanakuwaga vichwa sana
Albert Mangwea
Albert Msando
Alikimbia kutoka Ujerumani kwenda Uswisi na aliweka makazi katika mji wa BernHuyu jamaa aliacha watoto watatu ila pia inavyosemekana huyu jamaa hakua Good parent sidhani kama alikua anaconsider malezi ya watoto vizuri kuna mwanaye mmoja alifariki akiwa na mwaka mmoja ila wakati anazaliwa alikua na developmental disability inaweza kuwa alikua na usonji (Autism), Down syndrome na mengineyo , wengine wanasema huyo dogo alikuja kuchukuliwa na familia nyingine ikamtunza akaja kufariki miaka ya 90. Kwa hiyo Eistein mwenyewe hakua mfuatiliaji wa familia yake
Mwingine alipata Schizophrenia wakati ana miaka 20 wakati huo jamaa akahama zake nchi sikumbuki alienda wapi ndo kulikua na vita ya waNazi ,dogo nae hakutoboa akafariki ! Mwingine alikua ni professor wa Hydraulic Engineering kwenye chuo kimoja huko Calfonia Marekani !!
Thomas edson aliiba patent zake mkuu nadhaniNani alikuambia Albert alikufa masikini,MTU ambaye alikuwa na uwezo wa kufanya audience na Rais wa U.S.A wa wakati huo atakuwje masikini???
Aliyekufa masikini ni Nikola Tesla na kwa kuwa hakuwa Raia wa kuzaliwa wa USA,hivyo alidhulumiwa Mali zake nyingi
Like Nikola Teslapeople with aliens blood don't have families.