Kikowapi kizazi cha Albert Einstein nguli wa falsafa?

kesho kutwa

JF-Expert Member
Dec 7, 2016
1,628
1,786
Binafsi ni mfuasi wa life la huyu jamaa nikisoma wasifu wake adi najishangaa jamaa alikua nondo Balaa asa nimejiuliza kizazi chake bado kipo? Je imetokea specie nyingine kama yake? Vipi taarifa zake zipo?
 
Binafsi ni mfuasi wa life la huyu jamaa nikisoma wasifu wake adi najishangaa jamaa alikua nondo Balaa asa nimejiuliza kizazi chake bado kipo? Je imetokea specie nyingine kama yake? Vipi taarifa zake zipo?

Cheki quotation Moja wake hii.. "Life is like riding a bicycle. To keep your balance, you must keep moving."

"The measure of intelligence is the ability to change" .
 
Screenshot_20211230-155455.jpg
 
Binafsi ni mfuasi wa life la huyu jamaa nikisoma wasifu wake adi najishangaa jamaa alikua nondo Balaa asa nimejiuliza kizazi chake bado kipo? Je imetokea specie nyingine kama yake? Vipi taarifa zake zipo?

Cheki quotation Moja wake hii.. "Life is like riding a bicycle. To keep your balance, you must keep moving."

"The measure of intelligence is the ability to change" .
Tupo hapa ndio tunamalizikia malizikia huku Msambweni......
wtz hawataki kabisa kutumia akili kwa maendeleo yao
 
Subtle is the Lord: The Science and Life of Albert Einstein.
 

Attachments

  • The Science and the Life of Albert Einstein ( PDFDrive ).pdf
    31.8 MB · Views: 17
Kizazi chake kwa maana ya 'biological' ama watu tu wenye uwezo wa kufikiri kama yeye?

Kama unauliza kuhusu kizazi cha kibaiolojia, ndio kipo!
 
Huyu jamaa aliacha watoto watatu ila pia inavyosemekana huyu jamaa hakua Good parent sidhani kama alikua anaconsider malezi ya watoto vizuri kuna mwanaye mmoja alifariki akiwa na mwaka mmoja ila wakati anazaliwa alikua na developmental disability inaweza kuwa alikua na usonji (Autism), Down syndrome na mengineyo , wengine wanasema huyo dogo alikuja kuchukuliwa na familia nyingine ikamtunza akaja kufariki miaka ya 90. Kwa hiyo Eistein mwenyewe hakua mfuatiliaji wa familia yake
Mwingine alipata Schizophrenia wakati ana miaka 20 wakati huo jamaa akahama zake nchi sikumbuki alienda wapi ndo kulikua na vita ya waNazi ,dogo nae hakutoboa akafariki ! Mwingine alikua ni professor wa Hydraulic Engineering kwenye chuo kimoja huko Calfonia Marekani !!
 
Binafsi ni mfuasi wa life la huyu jamaa nikisoma wasifu wake adi najishangaa jamaa alikua nondo Balaa asa nimejiuliza kizazi chake bado kipo? Je imetokea specie nyingine kama yake? Vipi taarifa zake zipo?

Cheki quotation Moja wake hii.. "Life is like riding a bicycle. To keep your balance, you must keep moving."

"The measure of intelligence is the ability to change" .
Huyu mwamba ni maana ya genius kutokana na alivyodadavua mambo kwa weledi wake.

Tukija kwenye swala lako watu wa namna hii wapo isipokuwa kumekuwa na mabadiliko makubwa ya kijamii!.. naweza sema social psychology!.
Miaka ya zamani vitu havikuwa vingi kama wakati huu unakuta mtu anahusika na vitu vingi sana tena sana na kati ya kitu kikubwa kilichokuja kuharibu ni pesa!!.

We are focusing on finding money!!. Hao kina eistain na tesla walijihamasisha zaidi katika gunduzi na walikufa maskini tu japo waligundua vitu vikubwa sana!. Naweza sema walikuwa ktk wakati sahihi kwa gunduzi zao lakini haukuwa wakati sahihi kwa gunduzi zao kuwatengenezea fedha!.

Vichwa vipo mkuu isipokuwa vimeparanganyika si kifani!.. wenye pesa wamewawahi wenye akili.
Nyakati zimewabadili watu akili zao ila watu wa namna hiyo jua wapo.
 
Huyu jamaa aliacha watoto watatu ila pia inavyosemekana huyu jamaa hakua Good parent sidhani kama alikua anaconsider malezi ya watoto vizuri kuna mwanaye mmoja alifariki akiwa na mwaka mmoja ila wakati anazaliwa alikua na developmental disability inaweza kuwa alikua na usonji (Autism), Down syndrome na mengineyo , wengine wanasema huyo dogo alikuja kuchukuliwa na familia nyingine ikamtunza akaja kufariki miaka ya 90. Kwa hiyo Eistein mwenyewe hakua mfuatiliaji wa familia yake
Mwingine alipata Schizophrenia wakati ana miaka 20 wakati huo jamaa akahama zake nchi sikumbuki alienda wapi ndo kulikua na vita ya waNazi ,dogo nae hakutoboa akafariki ! Mwingine alikua ni professor wa Hydraulic Engineering kwenye chuo kimoja huko Calfonia Marekani !!
Duh mkuu uko vizuri na huyu mwamba
 
Huyu jamaa aliacha watoto watatu ila pia inavyosemekana huyu jamaa hakua Good parent sidhani kama alikua anaconsider malezi ya watoto vizuri kuna mwanaye mmoja alifariki akiwa na mwaka mmoja ila wakati anazaliwa alikua na developmental disability inaweza kuwa alikua na usonji (Autism), Down syndrome na mengineyo , wengine wanasema huyo dogo alikuja kuchukuliwa na familia nyingine ikamtunza akaja kufariki miaka ya 90. Kwa hiyo Eistein mwenyewe hakua mfuatiliaji wa familia yake
Mwingine alipata Schizophrenia wakati ana miaka 20 wakati huo jamaa akahama zake nchi sikumbuki alienda wapi ndo kulikua na vita ya waNazi ,dogo nae hakutoboa akafariki ! Mwingine alikua ni professor wa Hydraulic Engineering kwenye chuo kimoja huko Calfonia Marekani !!
Duuuuh
 
Huyu mwamba ni maana ya genius kutokana na alivyodadavua mambo kwa weledi wake.

Tukija kwenye swala lako watu wa namna hii wapo isipokuwa kumekuwa na mabadiliko makubwa ya kijamii!.. naweza sema social psychology!.
Miaka ya zamani vitu havikuwa vingi kama wakati huu unakuta mtu anahusika na vitu vingi sana tena sana na kati ya kitu kikubwa kilichokuja kuharibu ni pesa!!.

We are focusing on finding money!!. Hao kina eistain na tesla walijihamasisha zaidi katika gunduzi na walikufa maskini tu japo waligundua vitu vikubwa sana!. Naweza sema walikuwa ktk wakati sahihi kwa gunduzi zao lakini haukuwa wakati sahihi kwa gunduzi zao kuwatengenezea fedha!.

Vichwa vipo mkuu isipokuwa vimeparanganyika si kifani!.. wenye pesa wamewawahi wenye akili.
Nyakati zimewabadili watu akili zao ila watu wa namna hiyo jua wapo.
Kwa iyo mkuu unafikiri Dunia ifanye nini ili iweze kuwachambua hawa watu kwa maslai mapana ya na maendeleo ya Dunia?
 
Jamaa hukuwahi kuwa na familia
Alikuwa na familia ya mke na watoto 2 ambaye badaye waliachana maana mafahali 2 hawakai zizi mmoja,Mke aliye zaa naye alikuwa na ajili kama yeye ndio maana hawakuwezana.

Badaye alimuoa binamu yake.Uwezo wake kiakili unatokana na tatizo kwenye ubongo wake na sio kwamba alikuwa na akili natural kama ilivyo kwa akina Nikola Tesla,akina Da Vinci au kina Isack Newton.
 
Binafsi ni mfuasi wa life la huyu jamaa nikisoma wasifu wake adi najishangaa jamaa alikua nondo Balaa asa nimejiuliza kizazi chake bado kipo? Je imetokea specie nyingine kama yake? Vipi taarifa zake zipo?

Cheki quotation Moja wake hii.. "Life is like riding a bicycle. To keep your balance, you must keep moving."

"The measure of intelligence is the ability to change" .
people with aliens blood don't have families.
 
Duh mkuu uko vizuri na huyu mwamba
Kizazi chake kimewahi kufutika !! Mwamba kinachomweka juu ! Ni kazi aliyoacha amefanya aseee ! Na hakuna hata mtoto mmoja aliyejaribu kubeba mikoba ya mzee !! 1921 jamaa ashalamba Nobel prize ! Ila nahisi pia kwa kuwa watoto wake wengi walipata matatizo !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom