chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,493
- 21,505
Hiki ni moja ya vikosi hatari zaidi nchini vinavyotumika kuzuia ghasia magerezani. Kiko chini ya Jeshi la Magereza
Kwa taarifa za ndaani kabisa, zinasema mafunzo waliyonayo hawa jamaa, FFU wanasubiri.. Jamaa ni kama wanakula misumari kwa meno, au wanatafuna kokoto.
Ni kikosi ambacho si maarufu sana, labda kijitokeze tarehe 24/1/2024.
Kikosi gani unakijua kwa matata makubwa mbali na hawa jamaa na MP(Millitary Police) Polisi wa jeshi la wananchi wa Tanzania?
Kwa taarifa za ndaani kabisa, zinasema mafunzo waliyonayo hawa jamaa, FFU wanasubiri.. Jamaa ni kama wanakula misumari kwa meno, au wanatafuna kokoto.
Ni kikosi ambacho si maarufu sana, labda kijitokeze tarehe 24/1/2024.
Kikosi gani unakijua kwa matata makubwa mbali na hawa jamaa na MP(Millitary Police) Polisi wa jeshi la wananchi wa Tanzania?