Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Katika pitapita yangu kwenye mitandao nikakutana na kichwa cha habari Hamornize Kujaza Uwanja wa O2 Arena. Nikamsikiliza akiongea na akasema amemalizia malipo.
Kwa kuweka mambo sawa O2 Arena siyo Uwanja bali ni Ukumbi mkubwa una sitting capacity ya watu 20000. Gharama za kuukodi huu ukumbi siyo lelemama. Na uwezo wa kuujaza huu ukumbi sina uhakika kama Msanii kama mdogo kimataifa kama Harmonize ana huo uwezo. Hapo kuna wasanii wenye majina wana perform. Na mara nyingi ticket za mwakani mwezi January zimeshaanza kuuzwa.
UK kodi ni kubwa sana. Chukulia miaka 10 iliyopita Mwanariadha mashuhuri wa mbio fupi za Jamaica Usain Bolt alikataa kushiriki mashindano yote yaliyofanyika UK kwasababu ya Tax Laws zao. Mwaka 2012 wakati wa Olympic serikali ilibidi ifanye exemption ndiyo akakubali kuja kushiriki. Hivyo unless anataka kujifilisi sina hakika kwanini afanye mwenyewe bila kupata wadhamini wa maana.
Siyo lengo langu kumdharau bali ni maoni yangu tu. Aendelee na style za wenzake kina Diamond Twanga pepeta n.k za kupigia vichochoroni Northampton Milton Keynes Reading Leicester hata London kwenye kumbi za uswahilini kama Manzese.
Kwa kuweka mambo sawa O2 Arena siyo Uwanja bali ni Ukumbi mkubwa una sitting capacity ya watu 20000. Gharama za kuukodi huu ukumbi siyo lelemama. Na uwezo wa kuujaza huu ukumbi sina uhakika kama Msanii kama mdogo kimataifa kama Harmonize ana huo uwezo. Hapo kuna wasanii wenye majina wana perform. Na mara nyingi ticket za mwakani mwezi January zimeshaanza kuuzwa.
UK kodi ni kubwa sana. Chukulia miaka 10 iliyopita Mwanariadha mashuhuri wa mbio fupi za Jamaica Usain Bolt alikataa kushiriki mashindano yote yaliyofanyika UK kwasababu ya Tax Laws zao. Mwaka 2012 wakati wa Olympic serikali ilibidi ifanye exemption ndiyo akakubali kuja kushiriki. Hivyo unless anataka kujifilisi sina hakika kwanini afanye mwenyewe bila kupata wadhamini wa maana.
Siyo lengo langu kumdharau bali ni maoni yangu tu. Aendelee na style za wenzake kina Diamond Twanga pepeta n.k za kupigia vichochoroni Northampton Milton Keynes Reading Leicester hata London kwenye kumbi za uswahilini kama Manzese.