Kikao wapi jamani... mbona kimya mwenyekiti vipi

<font Sasa mimi st. roya nakuhakikishia hutatoka manundu...
Naona Roy roya unataka kuleta mchezo wa padre na mtawa eti gari limeisha petrol hivyo anataka kumsaidia kwa kufyonze mkojo kutoka kwake ili aweke katika gari!!ili ayaombee yageuke mafuta!
 
Unauliza lift kwakila mtu?.au ujaona drisha la ku pm??kwanini ujapm??do it i'll pass by!!
 
Dah!! Hii cocktail ya valuu na konyagi inashuka vizuri kweli kweli inakata kiu yangu
 
umeiona eeeeh....dah....namsubiri Ngabu kaniwekesha hapa lisaa sasa....mi naishia zangu naenda kula samaki wa foil triple M Sinza....vipi utakuja?

Preta nshafika....unaona hiyo Pijot (Peugot 504) hapo mbele karibu na alipokaa Diana? Njoo basi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom