Kikao maalum cha Kamati Kuu ya CHADEMA kufanyika Agosti 29, 2026

Kikao maalum cha Kamati Kuu ya CHADEMA kufanyika Agosti 29, 2026

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,607
Reaction score
62,370
TAARIFA KWA UMMA

KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU YA CHADEMA​

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinawataarifu wanachama, viongozi na umma kwa ujumla kuwa Kamati Kuu ya Chama itafanya kikao maalum kesho, Jumamosi tarehe 29 Agosti 2026.

Kikao hicho kitafanyika katika ukumbi wa Makao Makuu ya Chama, Edwin Mtei House, Mikocheni, Dar es Salaam, na kitaongozwa na Makamu Mwenyekiti Bara, Mhe. John Heche.

Katika Kikao hiki kamati kuu itapokea taarifa ya Sekretarieti kuhusiana na maandalizi ya Baraza kuu na kitaiadili hali na uelekeo wa kisiasa nchini.

Imetolewa leo ljumaa, tarehe 28 Agosti, 2026
IMG-20260828-WA0006.jpg
 
Kila mtu ana mapungufu. Hatuishi na malaika na sio kila kitu unatakiwa kuchukua hatua.. Vingine tuachie muda.. Muda ndo Doctor pekee wa maumivu na muda huongea
CCM ni taasisi bora , hawavumilii mjinga , nchimbi kaondoshwa akaungane na kanisa ..CCM ni dude kubwa
 
Back
Top Bottom