Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,091
- 8,243
ule ukawa uliofanya mdahalo ndio unapaswa kuungwa mkono na watanzania
kauze migebuka acha ufala, wewe ni ACT-msaliti unaripoti habari za ukawa?
Ni kikao cha tatu sasa umoja katiba ya wanainchi vimeshindwa kufanyika baada ya Chadema kutoa udhru wa kutingwa na shughuli ndani ya chama, lakini wadau wa siasa wamebashiri ndio mwisho wa ukawa hii ni baada ya NCCR na CUF kupeleka vigezo vyao ambavyo inaonekana Kama kuitoa Chadema katika mbio za urais wa ukawa.
Ukawa ilikufa lipumba alipotangaza nia,naiona saccos ya wachaga na bavicha wanavyokufa kibudu
CHADEMA wawe makini wanaweza jikuta wanapoteza hata hivi viti vidogo walivyo nanvyo kwa tamaa ya mzee fisi.
Chadema nje ya ukawa ni wepesi kama karatasi,
Hivyo hawana ubavu wa kujitoa ukawa.
Wakijaribu kujitoa chama kimefia hapohapo.
Hivi nyinyi mmelishwa nini sijui?
mnawaza UKAWA tu, thamani ya shilingi inashuka kila siku nyinyi mnawaza UKAWA tu.
Raia wengi wanwachukia nyinyi mnawaza UKAWA tu.
Waleteeni waTZ maisha bora nyinyi mnawaza UKAWA tu.
Sasa inabidi tuwalete UKAWA ndipo matapona.
Tatizo Ukawa ni kundi la viongozi wenye malengo tofauti.
1.Mbatia anataka support ya kuwa mbunge wa Vunjo- hana interest ya Ukawa kuchukua nchi
2. Lipumba na CUF aim kubwa ni kuongeza majimbo/ viti bungeni
3. Chadema wana lengo ya kukamata dola
CHADEMA wawe makini wanaweza jikuta wanapoteza hata hivi viti vidogo walivyo nanvyo kwa tamaa ya mzee fisi.
labda hujui kua ni katiba ya chadema pekee imeandika kua tayari kuungana na vyama vingine vya upinzani ili kuleta mshikamano kwa kuwaletea watanzania maendeleo ya kweli
Ongea kama mtu mwenye kichwa bwana!! Unapozungumzia UKAWA, unakuwa unazungumzia Cdm, sasa wewe unaposema eti ikijitoa ndio mwisho wake!!? hata kama ni mahaba sio ya hivi, huo ni ujinga, Hao cuf, nccr na nld, wanafanya mikutano wapi ya kuhamasisha watu wajiandikishe?? kama sio cdm ambao hawalali, usiku na mchana, najua kuwa mnaandaa mamluki eti wawagombanishe ukawa, na mnaona endapo UKAWA, Ikisambaratika muathirika mkubwa ni CHADEMA, kwani hivyo vikura vikianza kugawanwa ndio pona yenu,, angalia BAVICHA, BAWACHA, hakuna kulala, nyie UVCCM, mko kwenye kazi ya UKUWADI tu kwa wagombea, sio maneno yangu, ni ya mwenyekiti wenu, huku UWT wao nao wako kwenye ushonaji madela tu!!! mwaka huu hata mkifunika kombe mwanahalamu hapiti. Ukawa inawanyima usingizi sana, tukutane October 25Chadema nje ya ukawa ni wepesi kama karatasi,
Hivyo hawana ubavu wa kujitoa ukawa.
Wakijaribu kujitoa chama kimefia hapohapo.