naona unaweweseka na bado....................
Naweweseka mie au wewe?soma kichwa cha habari cha thread alafu linganisha na ulichoandika.
Naona ata ukilala usiku uwa unamuota Zitto.
Mtu mpaka kufikia hatua ya kujibatiza jina la Kigoma sababu ya Zitto?hivi huyu Zitto ana nin cha ajabu?msimpe title asiyokuwa nayo.