Wajumbe wa CCM kupitia viongozi wa dini wameshalamba posho tayari, wakati wenzao wa UKAWA wamesusa.Habari za uhakika kutoka kwa wajumbe waliohudhuria wamelalamikia wenzao wa UKAWA kwa kufanya wapate posho ndogo na kukosa vitafunwa na juice ya Ikulu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.