Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan leo Jumatano 7 Septemba 2022 ataongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam.View attachment 2348394
Msisahau kuwa leo ni siku ya kumbu kumbu ya maagano ya Mungu na Watanzania,alisikiliza kilio chetu mubashara tulipomlilia amnususru Mh.Lissu na adhabu ya kifo.
Please have some respect tha and allow one minute of Prayers before resuming your meeting.
Lissu is a Blessing to Tanzania!
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichokutana Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam leo tarehe 07 Septemba, 2022.

#CCMImara
#KaziIendelee
IMG-20220907-WA0063.jpg
IMG-20220907-WA0069.jpg
IMG-20220907-WA0059.jpg
IMG-20220907-WA0062.jpg
IMG-20220907-WA0061.jpg
IMG-20220907-WA0060.jpg
IMG-20220907-WA0055.jpg
IMG-20220907-WA0056.jpg
 
Kinana amekua kijana...na namuona na Madam speaker hapo, kwakweli katiba ibadilishwe, ni muhimu Bunge likawa na uongozi ambao ni independent na mamlaka ya kivyama.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichokutana Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2022.

#AlipoMamaVijanaTupo
#Kaziiendelee

IMG-20220907-WA0192.jpg
 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichokutana Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2022.

#AlipoMamaVijanaTupo
#KaziiendeleeView attachment 2348930
Agenda na maazimio?
 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichokutana Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2022.

#AlipoMamaVijanaTupo
#KaziiendeleeView attachment 2348930

Sio chama chenye mvuto maana ni cha majizi ya kura, hivyo habari zake hazina tija.
 
Kitadumu na kitaendelea kudumu. Wazee wa ufipa mtapanuka mioyo yenu. Kila la heri wajumbe wa Kamati kuu ya CCM. Pigeni kazi nasi tuko pamoja nanyi na KAZI iendelee
 
Kitadumu na kitaendelea kudumu. Wazee wa ufipa mtapanuka mioyo yenu. Kila la heri wajumbe wa Kamati kuu ya CCM. Pigeni kazi nasi tuko pamoja nanyi na KAZI iendelee
Haswaaa wapige kazi

Na ikiwezekana wazidishe tozo

Ova
 
Back
Top Bottom