BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 327
- 414
Mwenyekiti wa @ccmtanzania na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu @samia_suluhu_hassan ameongoza kikao cha Kamati Kuu kilichoketi leo Septemba 10, 2021 Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma.
#ChamaImara
#KaziIendelee
#ChamaImara
#KaziIendelee