Slaa wa Dar
Member
- Nov 7, 2014
- 6
- 1
Wabunge msitetereke kuweni pamoja na wananchi wanaumia sana.
Utaka kuniambia hata huyu alikuwa Mods wa JF?
Kama iko hivi kuna haja Member kabla hajapewa U-Mods tuwafanyie vetting humu!
choko mamako pimbi wewe,ziko wapi kejeli zako kwetu members wa Chadema sasa?waite mamende wenzio kina Ritz waje hapa kusifia mabwana zenuMbona unaongea kama shoga we fa.la.
Mtoto fake wa nyerere asiwe mtoto fake ni juu yake.
Kwani suala hili la escrow yeye ndie kalileta nje kwa watz.
Kuungana nae kivipi.
Sio kila nachozungumza ukimbilie kuniquote na kushow concern kwangu umeskia wewe cho.ko.
Mind your bzness.
Hata angekuwa TB Josiah asingepona
Inaumiza sana!.
Wakati watanzania wengi wamedhamilia kushuhudia kikundi cha watu wachache waliosababisha kukosekana kwa madawa mahospitalini na baadhi ya walimu kukatwa mishahara yao pasi na sababu, viongozi wa chama cha mapinduzi wamejichimbia Dodoma tangu jana ili kutafuta namna ya kumficha mmoja wa wahusika wakuu wa wizi wa mabilioni ya Escrow, takribani 301 billion.
CCM ni chama kikongwe na kimekuwa kikongwe kwa kila kitu. Sasa wamejichimbia Dodoma kupanga mikakati ya kumkingia kifua Pinda ambaye anapaswa kuwa mtu wa kwanza kuachia ngazi akifuatiwa na Werema na Muhongo. Kwa ujumla wao, hakuna kiongozi anayetakiwa kuachia ngazi haraka iwezekanavyo kama Pinda. Huyu ndiyo aliyelea uovu huu mpaka kufikia mabilioni yote hayo. Kwa kumtia moyo Pinda, viongozi wa chama cha mapinduzi wako Dodoma kutafuta namna ya kumtoa Pinda katika kadhia hii ambayo kwakweli kila mtanzania hasa aliyekosa dawa hospitali hivi karibuni anajua machungu yake.
Kwa ujumla, imekuwa kawaida ya CCM kuwatetea wezi na wahujum uchumi hapa nchini. Ila kwa hili la Escrow account halibebeki na watanzania. Mchezo wa kuwatetea wezi na kuwakingia kifua haukubaliki hata kidogo. Watazania tukatae namna yoyote ya kuwaficha wezi hawa wa mabilioni ya shilingi ambayo yamefanya taifa likakosa misaada kutoka kwa wafadhiri.
Hili halikubaliki hata kidogo, CCM wafanye vikao vyao ila mwisho wa siku tunataka Pinda amshike mkono Werema na Muhongo wakati wanaachia ngazi. Wapo wengi wanaofaa kumalizia muda uliobaki. Hatutaki wezi walindane ili waendelee kuiba tena na tena kwa muda uliobaki wa rais Kikwete. Enough is enough!!!!!!.
Kama kweli CCM wamekaa Dodoma weekend hii ili kupanga mipango ya kuwalinda wezi na wahujumu uchumi wa taifa hili, Watanzania tuungane kuiangusha CCM.
Watanzania!!!!. Kamata Mwizi men!!!!!!!!!!!!!
Kwani wewe huoni aibu kukopi mada ambazo wameweka watu awali na wewe kuzirudisha tena.
choko mamako pimbi wewe,ziko wapi kejeli zako kwetu members wa Chadema sasa?waite mamende wenzio kina Ritz waje hapa kusifia mabwana zenu
Hakuna wanafiki na wizi zaidi ya viongozi wa Chadema, ambao wewe ndio kipaza sauti chao. Wewe unatumika kama kitambaa cha waiter of a restaurant, only needed to clean the table for the next custom. you are pathetic
Safi sana ila nasikia Mwigulu amegoma akasema ni lazima wote waliohusika wafikishwe mahakamani na pesa warudishe zote.Ndugai ni mstaarabu sana mama akija kwani ataokoa nini wakati yeye mwenyewe alishasema hii ripoti ikija itaondoka na mawaziri???haponi mtu hapo na kweli hapo ndipo Lowasa anapoamkia,tumetukanwa sana,tumethalilishwa sana,sasa Mungu anamwinua mtumishi wake