Kijue chuo cha VETA Tanzania

Kijue chuo cha VETA Tanzania

ufalmedigital

Member
Joined
Apr 24, 2025
Posts
29
Reaction score
37
VETA (Vocational Education and Training Authority) ni taasisi ya serikali ya Tanzania inayotoa mafunzo ya ufundi stadi kwa vijana na watu wazima. Imekuwa msaada mkubwa kwa wale wanaotafuta njia mbadala ya elimu ya kawaida ya darasani kwa lengo la kujiajiri au kuajiriwa kwa ujuzi wa vitendo.
2. MALENGO YAKE YA MSINGI

Kuongeza idadi ya watanzania wenye ujuzi wa kitaalamu

Kupunguza tatizo la ajira kwa kuwapa watu uwezo wa kujitegemea

Kukuza sekta ya viwanda kwa kutoa mafundi waliobobea

Kuwapa wahitimu uwezo wa kushindana kitaifa na kimataifa

3. MIKOPO NA UDHAMINI

Baadhi ya kozi katika VETA hufadhiliwa na taasisi kama:

Skills Development Fund (SDF)

TASAF

Donors wa kimataifa (GIZ, KOICA, n.k)

see more on ChuoSmart | chuo cha siku: VETA TANZANIA – Kituo cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
 
Back
Top Bottom