Wadau naulizia kijiji cha kiambankupe kipo katika mkoan gani hapa tanzania..
bado haina majibujaibu google
yap nko seriousA u serious mkuu?
Yaani toka mwaka 2015 mpaka mwaka huu 2018 hujakipata hicho Kijiji,na una shida gani hiyo ambayo haijaisha?majibu wadau
yaani wewemajibu wadau
Sasa si amtafute huyo bibi fela amuulizeAmuulize aslay kwenye wimbo wake unaoitwa ANAENDA KUSEMA mkubwa fela alitia maneno kwenye ule wimbo kuwa atampeleka huko KIAMBANKUPE