KERO Daraja bovu Kilindi kijiji cha Kwekivu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Hili daraja lipo Kilindi, katika kijiji cha Matale na Kwekivu.

Daraja hili ni bovu limearibiwa na mvua na mamlaka zipo kimya halijakarabatiwa kabisa na ni adha kwa watumiaji wa njia hii

255714498835_status_409386c63669467f9c9b40161a499f11.jpg
 
Back
Top Bottom