Kijana wangu anataka kusomea Udaktari

Kijana wangu anataka kusomea Udaktari

Gvas Tz

New Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
3
Reaction score
1
Habari zenu wapendwa poleni na majukumu Nina kijana wangu anataka kusomea udaktari lakini anataka akimaliza 4m4 aende chuo, sasa ni njia zipi atapitia?
 
Habari zenu wapendwa poleni na majukumu Nina kijana wangu anataka kusomea udaktari lakini anataka akimaliza 4m4 aende chuo, sasa ni njia zipi atapitia?
Majibu ya 4m4 ndio yatatoa mwanga

Jr
 
Mkuu
Umeshaambiwa Mbinu Nzuri Kuwa Masomo Yaani Ufaulu Wake Ndiyo Utakupa Uelekeo, Sasa Hivi Mkazanie Hayo Masomo Ya Sayansi Ili Kurahisha Azma Yake Kuwa Daktari
 
kijana wako muoga sana, hata robo ya kidato cha NNE hajamaliza amepagwaya kidato cha tano.

kama hakuwa na daraja la kwanza kidato cha pili, na mitihani ya majaribio na mihula hakuwa anavuka wastani wa 60... anafeli vibaya pepa la Ndali
 
Yes yes bro. Thanks kwa kunirekebisha.
Japokuwa njia ya diploma.itakuqa ndefu kidogo. Itabidi ajitoe sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ni ndefu ila ni safe! 4m4 kupiga div 1/2 ni rahisi CO chap ila six bila 1 MD hugusi. .... Mwisho wa siku dogo anasoma course nje na malengo. Kama akifaulu vizuri 4m4 binafsi nashauri aunge C.O six kumeua ndoto za watu wengi sana.
 
Nadhani ulikusudia PCB Mkuu..... Kusoma MD inawezekana kwa 4m4 ila anapitia C.O kwanza ndipo aende MD

Nadhani kwa mtu ambae amemaliza form four hawez kuanza diploma moja kwa moja inabid aanze na certificate ya course ya afya kwanza, then ndo aende clinical officer(diploma) then medical doctor(degree).
Angekuwa kamaliza formsix ndo angeweza kuanzia level ya diploma (clinical officer) then Md or form six then anaenda direct Md kama ana ufaulu mzuri.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari zenu wapendwa poleni na majukumu Nina kijana wangu anataka kusomea udaktari lakini anataka akimaliza 4m4 aende chuo, sasa ni njia zipi atapitia?
Kama yuko vizuri aende moja kwa moja Advance halafu apige MD na ikiwezekana beyond. Bahati mbaya kwa sasa ndoto za vijana wengi zimeishia hapa kwa kuwa na ufaulu ulioshindwa kwenye ushindani wa nafasi chache zilizopo.
Kama hana hakika anaweza kupitia chuo C.O. lakini atadaiwa GPA=>3.5 na hata hivyo kwa nafasi tulizokuwa nazo Tz atakuwa na ushindani mkubwa. Na hii njia ni ndefu zaidi na mara nyingi mwisho wake ni MD.
 
Nadhani kwa mtu ambae amemaliza form four hawez kuanza diploma moja kwa moja inabid aanze na certificate ya course ya afya kwanza, then ndo aende clinical officer(diploma) then medical doctor(degree).
Angekuwa kamaliza formsix ndo angeweza kuanzia level ya diploma (clinical officer) then Md or form six then anaenda direct Md kama ana ufaulu mzuri.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Unaenda vizuri Diploma kutoka 4m4 labda kama hujafaulu ndo unaweza anzia certificate

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom