kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,686
Kijana aliyetambulika kwa jina la Abdallah Salumu wa miaka 18, mkazi wa Charambe Mianzini, Wilaya ya Temeke alikutwa akining'inia chumbani kwake, akiwa amejifunga kamba aina ya katani aliyoitundika kwenye kenchi.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke Engbert Kondo, alisemsa kijana Abdallah Salumu alikutwa amekufa juzi kwa kujinyonga, huku akiacha ujumbe kuwa "UGONJWA HUU WA UKIMWI UMENISUMBUA SANA".
Source By Mwananchi.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke Engbert Kondo, alisemsa kijana Abdallah Salumu alikutwa amekufa juzi kwa kujinyonga, huku akiacha ujumbe kuwa "UGONJWA HUU WA UKIMWI UMENISUMBUA SANA".
Source By Mwananchi.