Kijana wa kukaanga vitu anahitajika

PANDIT92

Member
Aug 9, 2019
29
7
Habari, anahitajika kijana mjuzi wa kukaanga vitu kama kuku, samaki, pweza na vitu vinginezo maeneo ya Tabata Maji Chumvi. Awe mwenyeji na mkazi wa Dar es Salaam maeneo ya Tabata au Ubungo External.

Asanteni. Kwa maelezo zaidi piga namba 0754 524 486.
 
Back
Top Bottom