Umejuaje?Sio muislamu ni mkristo aliyevaa ngozi ya uislamu
Ukiwa muislam hutakiwi kwenda kinyume na muislamu mwenzio hata kama anaenda kushoto?Sio muislamu ni mkristo aliyevaa ngozi ya uislamu
Hata kama ni kweli sio, wewe umejuaje mkuu?Huyu sio muislamu ni muongo
Alichosema ni uongo?Sio muislamu ni mkristo aliyevaa ngozi ya uislamu
Ukweli ukoje?Huyu sio muislamu ni muongo
Ocky, iwe hivyo kuwa huyo sio muislam. Aliyosema ni ya kweli au lah. Je, wenzetu waislam tunafaidika na huduma kwa upendeleo wa dini ???Sio muislamu ni mkristo aliyevaa ngozi ya uislamu
Sikiliza mazungumzo ya dakika 18 makini za Muislamu wakweli
View: https://youtu.be/-lGWIQBFbc0?si=L0igqkSoczC5wpR2
Sikiliza mazungumzo ya dakika 18 makini za Muislamu wakweli
View: https://youtu.be/-lGWIQBFbc0?si=L0igqkSoczC5wpR2
Sikiliza mazungumzo ya dakika 18 makini za Muislamu wakweli
View: https://youtu.be/-lGWIQBFbc0?si=L0igqkSoczC5wpR2
Kwa hiyo, amekosea, amedanganya, amesingizia ???Amekaririshwa maneno mpuuzi mmoja huyu. Hakuna muislaam ambae atazungumza hivi hata siku moja.
Ni mpuuzi kama wapuuzi wengine tu
Sikiliza mazungumzo ya dakika 18 makini za Muislamu wakweli
View: https://youtu.be/-lGWIQBFbc0?si=L0igqkSoczC5wpR2
Wakristo hamuishiwi majungu na udini kwa waislamu, waislamu wakisema inakuww nongwa wakikaa kimya basi waislamu ni wa dini binadamu mbona hamna jema?Sio muislamu ni mkristo aliyevaa ngozi ya uislamu