Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,425
- 54,886
Kula cha mtu ni dhambi na uchafu.
Mungu aniepushe na hi tabia
Mungu aniepushe na hi tabia
Kuna namna sahihi ya kula mke wa mtuJF kuna baadhi ya vijana wa hovyo sana, wanatembea na wake za watu kisha wanakuja kuweka Uzi hapa JF tena wakijinadi, doh ni hatari sana. Maana wamesahau kuwa nao miaka ya mbeleni wataoa na cha kushangaza watataka wake waliotulia.
Hahahah, daima utavuna ulichopanda na mtenda hutendwa.
Matokeo ya kula mke wa mtu:
1) Nawe ukioa basi wakwako atasumbuliwa vibaya mno.
2) Siku ukidakwa unameng'enyua mke wa mtu, ahhh hapa kuna matokeo mengi mpaka nahofia kusema.
NB: Mke wa mtu ni hatari zaidi ya UKIMWI tena zaidi ya generator lenye shoti tena zaidi ya moto ule unaowaka sokoni.
Vijana wa hovyoJF kuna baadhi ya vijana wa hovyo sana, wanatembea na wake za watu kisha wanakuja kuweka Uzi hapa JF tena wakijinadi, doh ni hatari sana. Maana wamesahau kuwa nao miaka ya mbeleni wataoa na cha kushangaza watataka wake waliotulia.
Hahahah, daima utavuna ulichopanda na mtenda hutendwa.
Matokeo ya kula mke wa mtu:
1) Nawe ukioa basi wakwako atasumbuliwa vibaya mno.
2) Siku ukidakwa unameng'enyua mke wa mtu, ahhh hapa kuna matokeo mengi mpaka nahofia kusema.
NB: Mke wa mtu ni hatari zaidi ya UKIMWI tena zaidi ya generator lenye shoti tena zaidi ya moto ule unaowaka sokoni.
Sasahiv anatumia madawa.sjui atakuwa anatembeaje? Dah 4 years
Pole Braza ila kuchapiwa ni siri ya ndaniJF kuna baadhi ya vijana wa hovyo sana, wanatembea na wake za watu kisha wanakuja kuweka Uzi hapa JF tena wakijinadi, doh ni hatari sana. Maana wamesahau kuwa nao miaka ya mbeleni wataoa na cha kushangaza watataka wake waliotulia.
Hahahah, daima utavuna ulichopanda na mtenda hutendwa.
Matokeo ya kula mke wa mtu:
1) Nawe ukioa basi wakwako atasumbuliwa vibaya mno.
2) Siku ukidakwa unameng'enyua mke wa mtu, ahhh hapa kuna matokeo mengi mpaka nahofia kusema.
NB: Mke wa mtu ni hatari zaidi ya UKIMWI tena zaidi ya generator lenye shoti tena zaidi ya moto ule unaowaka sokoni.
Kabisa mzeeInafikirisha maana uchumi unavyozidi kuwa mgumu basi wake za watu wanaacha milango yote wazi.
Nchi masikini Kama hii kuchapiwa hakuepukiki labda kwa mbali upate God fearing person with financial stability.
Hivyo hivyo kuna Mahakama ilimhukumu kifungo cha jela miaka 30 mwanaume aliyefanya kisasi kama hicho pamoja na wahusika. Dogo angefungua kesi angewanyoosha vizuri.
Kuna jamaa mkoani Tabora alikuwa na kijana ambaye alimchukua kutoka mtaani, akaanza kumtuma akamtoa akamuweka kwenye mabiashara zake.
After a time goes on jamaa akawa anamtuma mpaka nyumbani. Dogo anaenda kuchukua vitu anavyoagizwa mke akaanza kuweka ukaribu mwisho ws siku akamla mke wa jamaa.
Watu wakamtonya kwamba dogo anakula mke wako ukiondoka maana alikuwa anafahamu ratiba za jamaa.
Akamuwekea mtego akimuaga dogo mimi nasafiri, dogo kama kawaida akaingia kwa mwanamke wakampigia jamaa. Akaja akamkuta dogo yupo uchi na mkewe.
Akapiga simu wakaja vijana 7 akasema kila mtu atampa 100k anataka wamshugulikie. Dogo alifirwa na wanaume saba, alipotea miaka 4 Tabora akawa haonekani.
Wakazi wa mwinyi watakuwa wanafahamu hili tukio.
Afu mkitoka hapo mnaupinga ushoga, akati mnaufamya tena kwa malipo kabisaa. Lol
Kuna jamaa mkoani Tabora alikuwa na kijana ambaye alimchukua kutoka mtaani, akaanza kumtuma akamtoa akamuweka kwenye mabiashara zake.
After a time goes on jamaa akawa anamtuma mpaka nyumbani. Dogo anaenda kuchukua vitu anavyoagizwa mke akaanza kuweka ukaribu mwisho ws siku akamla mke wa jamaa.
Watu wakamtonya kwamba dogo anakula mke wako ukiondoka maana alikuwa anafahamu ratiba za jamaa.
Akamuwekea mtego akimuaga dogo mimi nasafiri, dogo kama kawaida akaingia kwa mwanamke wakampigia jamaa. Akaja akamkuta dogo yupo uchi na mkewe.
Akapiga simu wakaja vijana 7 akasema kila mtu atampa 100k anataka wamshugulikie. Dogo alifirwa na wanaume saba, alipotea miaka 4 Tabora akawa haonekani.
Wakazi wa mwinyi watakuwa wanafahamu hili tukio.
Mkuu coca,Afu mkitoka hapo mnaupinga ushoga, akati mnaufamya tena kwa malipo kabisaa. Lol
Mkuu magoyaHivyo hivyo kuna Mahakama ilimhukumu kifungo cha jela miaka 30 mwanaume aliyefanya kisasi kama hicho pamoja na wahusika. Dogo angefungua kesi angewanyoosha vizuri.
ukiwekwa kwenye mtego ukanasa wewe ni dhaifu sana na unahitaji kuelemishwa.Ni makosa kutuelimisha Sisi Wanaume. Fanya Jitihada waelimishe wake za Watu.
Na hapo bado vijana wa hovyo watasema huyu ndio mzuri hajatumika sana. Watamuonja tu Mkuu.akitaka asigongewe aoe mwanamke mwenye sura kama poromoko la ma*v, na tako flat kama tofali za choma na awe na miguu myembamba kama fidodido🤣🤣
Tatizo ni wake za watu. Wanataka mchakamchakaNa hapo bado vijana wa hovyo watasema huyu ndio mzuri hajatumika sana. Watamuonja tu Mkuu.
Ttizo ni hao wake za watu wala sio vijana.