DahNakataa...siyo hatari kiasi hicho....kikubwa sisitiza watu kuheshimu miili yao mkuu
Kwa hio akijipitisha unammega tu bila kuangalia km Sumu au Maziwa?I can't be worried about that shit.
Msasani kule kulikua na mdada chizi ..yeye huyo kutwa akiwa njiani utasikia alikuja mwenyewe..si alikuja mwenyewe...na akiona wanaume anaonesha nyeti yake...waswahili wakasema eti alitembea na MUME WA MTU , mwenye mume akenda kushtaki kwa Mungu wakewanatoka na waume za watu wakumbushe na wao kujitafakari
Kwa hio unamaanisha atupe taulo chini?Hata ukitutishia unajichosha tu unawatisha wadau wasikugongee Nini![]()
Ukitaka mke asikucheat mpelekee moto kama unaua, maana the way ambavyo tubawapelekea moto mchepuko ndo hivo wake zetu wanagongwa mtaan hadi wanawatukana waume zaoJF kuna baadhi ya vijana wa hovyo sana, wanatembea na wake za watu kisha wanakuja kuweka Uzi hapa JF tena wakijinadi, doh ni hatari sana. Maana wamesahau kuwa nao miaka ya mbeleni wataoa na cha kushangaza watataka wake waliotulia.
Hahahah, daima utavuna ulichopanda na mtenda hutendwa.
Matokeo ya kula mke wa mtu:
1) Nawe ukioa basi wakwako atasumbuliwa vibaya mno.
2) Siku ukidakwa unameng'enyua mke wa mtu, ahhh hapa kuna matokeo mengi mpaka nahofia kusema.
NB: Mke wa mtu ni hatari zaidi ya UKIMWI tena zaidi ya generator lenye shoti tena zaidi ya moto ule unaowaka sokoni.
Ataota chongo?Huyu sio mda atapigwa wese la kupikia vitumbua
Umeshawahi kuendesha gari ambalo hujalinunua? Unalipitisha tu kwenye makolongo tena unalipeleka putaputa balaaUkitaka mke asikucheat mpelekee moto kama unaua, maana the way ambavyo tubawapelekea moto mchepuko ndo hivo wake zetu wanagongwa mtaan hadi wanawatukana waume zao
Ni msemo tu, but reality of life ni kwamba what goes around comes around alwaysHainaga ushemeji
😂😂😂 Huu ukweli mchunguChanzo Cha wake za watu kupigwa mitalimbo ya nje.
1.mikopo kausha damu, mme unahangaika kuilisha familia na kulipa bill mbalimbali hujui mke kaweka bond mpaka kitanda na ndoo unayoendea uwani. Unametegea nn sasa zaidi ya yeye kuja kutafuta marejesho kwa vjana wasio na majukumu
2.maradhi na unene kupitia kiasi
Maradhi. Kuna wame za watu Wana kisukari na maradhi mengneyo hivyo kupelekea kutoshikisha vizuri wake zao ukuta. Hivyo huja kutafuta faraja kwa vijana
Unene
Mwanaume unaruhusu vp kunenepa kupitia kiasi Kama nguruwe poli. Njia ya kwenda gym hamuijui. Mtu unanenepa tumbo na makalio mpaka dudu inasinyaa utegemee mkeo utamridhisha.
Am going for a short call for some body's wife
Mchunge mkeo na House boys, Ila jua mtu mzima hachungwiNi msemo tu, but reality of life ni kwamba what goes around comes around always
Kuna jamaa moja mtaani kwetu alitembea na MKE WA MTU akafumaniwa..wahuni wakapitia mtaroMsasani kule kulikua na mdada chizi ..yeye huyo kutwa akiwa njiani utasikia alikuja mwenyewe..si alikuja mwenyewe...na akiona wanaume anaonesha nyeti yake...waswahili wakasema eti alitembea na MUME WA MTU , mwenye mume akenda kushtaki kwa Mungu wake
Hahahahahaha..Mke au Mume wa mtu ni sumu...sasa hao wanaopitiwa mitaro mbn wengi sana ..wengine kimya kimya...Kuna jamaa moja mtaani kwetu alitembea na MUME WA MTU akafumaniwa..wahuni wakapitia mtaro