slmnd
Member
- Dec 12, 2023
- 46
- 82
JF kuna baadhi ya vijana wa hovyo sana, wanatembea na wake za watu kisha wanakuja kuweka Uzi hapa JF tena wakijinadi, doh ni hatari sana. Maana wamesahau kuwa nao miaka ya mbeleni wataoa na cha kushangaza watataka wake waliotulia.
Hahahah, daima utavuna ulichopanda na mtenda hutendwa.
Matokeo ya kula mke wa mtu:
1) Nawe ukioa basi wakwako atasumbuliwa vibaya mno.
2) Siku ukidakwa unameng'enyua mke wa mtu, ahhh hapa kuna matokeo mengi mpaka nahofia kusema.
NB: Mke wa mtu ni hatari zaidi ya UKIMWI tena zaidi ya generator lenye shoti tena zaidi ya moto ule unaowaka sokoni.
Hahahah, daima utavuna ulichopanda na mtenda hutendwa.
Matokeo ya kula mke wa mtu:
1) Nawe ukioa basi wakwako atasumbuliwa vibaya mno.
2) Siku ukidakwa unameng'enyua mke wa mtu, ahhh hapa kuna matokeo mengi mpaka nahofia kusema.
NB: Mke wa mtu ni hatari zaidi ya UKIMWI tena zaidi ya generator lenye shoti tena zaidi ya moto ule unaowaka sokoni.