Kijana usioe mwanamke ambaye wazazi wake wako karibu na mnakoishi

Hapana, inategemea kwao kalelewaje na mama yake kamfundaje. Mimi mke wangu toka tumeanza uchumba hajawai kulala hata kwao wakati nauli ni 500 kufika kwao. Mama yake hawezi kumkubalia hata kulala kwao. Alimuonya kipind anaondoka kuwa kama uneamua kuolewa hapa sio kwenu tena. Kwenu ni kwa mmeo. Siku anapoenda kwao hata akichelewa kuondika, mama yake ndye anamkumbusha kuwahi kurudi.

Mama yake alimuonya hata mmeo akikupigaje usitegemee tutakupokea hapa. Ubaki uko mmalizani. So hii mentality inamjenga mwanamke ajui kwao ni kwa mme wake na sikobalipozaliwa.

Sasa ndoa za siku hizi unakuta mzazi kwenye harusi anasimama mbele za watu na kusema " tumekupa mwanetu akiwa hana makovu wala chongo.... so kwao hajafukuzwa na ameaga, ukimshindwa nrudishe kama tulivyokupa" apo tyar ndoa inakuwa imeshaharibiwa mentally siku ya kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemeana.
Ila huku kijijini ukioa jirani itakuwa unahudumia familia 2 bila ww kujua .
Ukinunua mafuta lita 5...anagawa....2kwa mama 3 zinabaki....sukari.....unga....mchele....hivyo hivyo
 
Ivi wanawake wenye watoto hawana haki ya ku olewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mke alitelekezewa na mtoto, sasa hivi mtoto yupo university, ananipenda ni balaa kila kitu, anachoambiwa, hataki kujibu mpaka aniulize kwanza, hata mama yake akinikoroga anamuweka chini na kumpa ukweli, kwa ukweli kabarikiwa sana..!!
Namuheshimu kupita maelezo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom