Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
- Thread starter
- #41
Kuna kiwanda cha kutengeneza jinsi cha Wahindi hapa Dar, malipo kwa siku 35 chakula juu yako.
Kwa mwezi ndo wanalipwa 105,000 Tshs kwa waliowaajiri. Sasa huu ni ukombozi au unyonyaji uliozidi utumwa?
Kazi zinaanza 08:00 mpaka 19:00.
Kwa mwezi ndo wanalipwa 105,000 Tshs kwa waliowaajiri. Sasa huu ni ukombozi au unyonyaji uliozidi utumwa?
Kazi zinaanza 08:00 mpaka 19:00.
Ndg Mpendwa... Hivyo umethibitisha kuwa WAHINDI ndo wakombozi na watoa ajira...?? Lakini kazi kwa makubaliano bila kushuurutishwa au kuLazimishwa !!! ( wee ni mbaguzi sana ) siyo vizuri kujumuisha watu!!!