Hahahaaaakaribu Sanaaa.
ukifika ulizia kituo cha polisi kilicho karibu.
hapo utalala na kula Bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hizi story za Usije dar bado zipo siku hizi,Habari za asibuhi!
Napenda kuwaasa vijana wenzangu kuwa Dar es salaam si mahali pa kusaka maisha kichwa kichwa, kwamba utafute nauli tu na kusema unakuja dar kwa mjomba, Dada, kaka, rafiki n.k kutafuta maisha.
Huku wengi ni wapangaji, tena wamepanga kwenye mazingira hatarishi(machafu), wengi hugombania daladala, jioni mkitoka kazini hubanana kwenye magari kama ng'ombe wanapelekwa mnadani.
Wengi ni vibarua, watumwa wa Wahindi na Wachina. Wengi hulipwa 100,000- 150,000 tshs. Wengine laki na nusu -laki tatu, hao ndo huonekana wana unafuu.
Wengi hula Milo 2 tu kwa siku.
Msivutiwe na picha wanazopost fb, Dar nguo ni kama bure, wengi hununua sabufa, sofa siti 2 au 3 tu na TV hapo ndo anasema kayapatia.
Ni heri ukomae huko home, ujenge hata kibanda chako. Huku utageuzwa mtumwa, ndugu wengi wana roho mbaya, hii sijui inasababishwa na nini?
Kazi ambayo ni rahisi kuipata Dar ni ulinzi, kazi ambayo ni ya kinyonyaji na hatarishi.
Ila inaaminika kua kwenye wengi kuna mengi"
Mdoa mada wewe upo kijiji gani? Tuanzie hapo!usije ikawa na wewe upo Dar wanakujames delicious
Sent by Diaspora
Hii hasa kwa wadada,wanaota ndoto kuwa ukiwa Dar mambo yatakuwa poa,lakini wakishaingia mujini mambo yanabadilika,wanaishia kubadilisha wanaume na hatima ya yote ni UKIMWI..
Upunguani tu wa vijana. .....
Maisha ya mikoani sasa hivi ni kama ulaya. .mikoani ukiacha mkoa wa arusha na moshi kipato cha tsh 200000 kwa mwezi ndani ya miaka yako mitano unakuwa tayar na nyumba navyo sema nyumba namaanisha nyumba kweli. ...
Vijana huku bodaboda wananyumba zao utafikir za wakurugenzi. ..
Acha waendelee kupiga picha kwenye saloon za wenzao na kwenye mageti ya wahindi huku wenzao mikoani wanachanja mbuga. ...
Siku wanarudi mikoani tutawaajili kulisha nguruwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana mkuu, wengine tumekuja wangali wadogo wa miaka 4, kwa sasa 30 niende wapiAcheni kututisha , tunakuja tu maisha kukomaa popote kikubwa kujituma.
Hata Dar pembeni ya mji kuna viwanja hadi 3m.Maisha yako ghali. .. mjini huwez kupata kiwanja kwa m5 Lakn mikoa mingne pembeni ya mjini ukiwa na m3 au 4 unapata kiwanja
Acheni kututisha , tunakuja tu maisha kukomaa popote kikubwa kujituma.
Daah Mnazidi kutubagua Tu sisi wa mikoani sio vizuri wakuu sisi wanyewe tunapenda hayo mambo ya fesibuku
Miye mjomba wangu yangu aje mjini mpaka leo anakaa gheto, maisha yake ya ujanja ujanja tu miwani mikubwa kanyoa panki kuchomekea na kuvaa macheni shingoni na Pete tangu tupo darasa la kwanza mjomba maisha yake ya ujanja ujanja tu mpaka tunamaliza shule mjomba bado anamtegemea Dada yake mama yetu kiufupi simuelewagi uncle
Uncle kuoa ataki, kurudi shamba tanga ataki yani yeye usela tu kakomaa nao mjini
Kwa hiyo kijana aliyemaliza chuo unamshauri nini abaki Dar kutafuta kazi au arudi nyumbani?
Mtu akija dar kutafuta Maisha bila issue ya maana ,Je vigumu kutoboa huko dar.
Unawashauri nn Vijana ,wanaomaliza masomo yao wanao ishi mkoani , wabaki dar au warudi nyumbani
Kwahiyo wimbi kubwa sana la kijana wanaokimbilia dar ,Likifika huko linateketea tu au ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndg Mpendwa... Hivyo umethibitisha kuwa WAHINDI ndo wakombozi na watoa ajira...?? Lakini kazi kwa makubaliano bila kushuurutishwa au kuLazimishwa !!! ( wee ni mbaguzi sana ) siyo vizuri kujumuisha watu!!!Habari za asibuhi!
Napenda kuwaasa vijana wenzangu kuwa Dar es salaam si mahali pa kusaka maisha kichwa kichwa, kwamba utafute nauli tu na kusema unakuja dar kwa mjomba, Dada, kaka, rafiki n.k kutafuta maisha.
Huku wengi ni wapangaji, tena wamepanga kwenye mazingira hatarishi(machafu), wengi hugombania daladala, jioni mkitoka kazini hubanana kwenye magari kama ng'ombe wanapelekwa mnadani.
Wengi ni vibarua, watumwa wa Wahindi na Wachina. Wengi hulipwa 100,000- 150,000 tshs. Wengine laki na nusu -laki tatu, hao ndo huonekana wana unafuu.
Wengi hula Milo 2 tu kwa siku.
Msivutiwe na picha wanazopost fb, Dar nguo ni kama bure, wengi hununua sabufa, sofa siti 2 au 3 tu na TV hapo ndo anasema kayapatia.
Ni heri ukomae huko home, ujenge hata kibanda chako. Huku utageuzwa mtumwa, ndugu wengi wana roho mbaya, hii sijui inasababishwa na nini?
Kazi ambayo ni rahisi kuipata Dar ni ulinzi, kazi ambayo ni ya kinyonyaji na hatarishi.