CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
Kichwa cha habari hapo Juu,Nahitaji kijana wa kiume anaejitambua mwenye usongo wa Maisha kama SIMBA
Sifa za Kijana ninae Mtaka :
Elimu yoyote
Ujue kutumia Computer (lazima)
Ujue kuendesha Gari/PikiPiki (lazima)
Uwe Mkazi wa Dar
Usiwe na Ulemavu wa aina yeyote
Uwe na Wadhamini Wanaoishi Kwao (sio wapangaji)
Ujue Customer Care Kuongea/kushawishi Mteja Vizuri
Uwe na Acc NMB,CRDB au bank yoyote (mshahara haulipwi mkononi)
OFISI ilipo "MBEZI MWISHO"
Mshahara "200,000" (kwa Mwezi)
Contact : PM ipo wazi muda wote
VIJANA WA KIKE WANAHITAJIKA (WAWILI)
Sifa za Kijana ninae mtaka :
Elimu yoyote
Ujue kutumia computer (lazima)
Uwe na wadhamini (wenye nyumba zao) sio wapangaji
Ujue customer care/ushawishi
Uwe mzuri Kimuonekano Uvutie/Upendeze/Ujipende/smart (Lazima)
Uwe na Acc ya NMB,CRDB au bank yoyote (Mshahara haulipwi mkononi)
OFISI ilipo "MBEZI MWISHO"
Mshahara "200,000"
Contact : PM ipo wazi
KIJANA WA KIUME ANAHITAJIKA
Elimu yoyote
Ujue kutumia computer (lazima)
Uwe na wadhamini (wenye nyumba zao) sio wapangaji
Ujue customer care/ushawishi
Uwe na muonekano/Upendeze/Ujipende/smart (Lazima)
Uwe na Acc ya NMB,CRDB au bank yoyote (Mshahara haulipwi mkononi)
OFISI ilipo "MBEZI MWISHO"
Mshahara "200,000"
Contact : PM ipo wazi
Tangazo Hili lina nafasi za Kazi za Vijana wa 4 Wakiume (wawili) na wa kike (wawili).
Litakua Expired baada ya kutoa taarifa kwa MODS walifunge,ukiona unaweza ku comment kwenye hii post basi jua Mtu/watu hawajapatikna au wamepatikana lakini uhitaji wa wengine Upo.
Ukiona comment section imefungwa unakutana na "NO FURTHER REPLIES FOR THIS THREAD" fahamu Uzi umeshakua expired na wahusika waliokua wanatafutwa wamepatikana na hawahitajiki wengine.
Karibuni Vijana wenzangu wenye nia na usongo wa Maisha.
CONTROLA
Sifa za Kijana ninae Mtaka :
Elimu yoyote
Ujue kutumia Computer (lazima)
Ujue kuendesha Gari/PikiPiki (lazima)
Uwe Mkazi wa Dar
Usiwe na Ulemavu wa aina yeyote
Uwe na Wadhamini Wanaoishi Kwao (sio wapangaji)
Ujue Customer Care Kuongea/kushawishi Mteja Vizuri
Uwe na Acc NMB,CRDB au bank yoyote (mshahara haulipwi mkononi)
OFISI ilipo "MBEZI MWISHO"
Mshahara "200,000" (kwa Mwezi)
Contact : PM ipo wazi muda wote
VIJANA WA KIKE WANAHITAJIKA (WAWILI)
Sifa za Kijana ninae mtaka :
Elimu yoyote
Ujue kutumia computer (lazima)
Uwe na wadhamini (wenye nyumba zao) sio wapangaji
Ujue customer care/ushawishi
Uwe mzuri Kimuonekano Uvutie/Upendeze/Ujipende/smart (Lazima)
Uwe na Acc ya NMB,CRDB au bank yoyote (Mshahara haulipwi mkononi)
OFISI ilipo "MBEZI MWISHO"
Mshahara "200,000"
Contact : PM ipo wazi
KIJANA WA KIUME ANAHITAJIKA
Elimu yoyote
Ujue kutumia computer (lazima)
Uwe na wadhamini (wenye nyumba zao) sio wapangaji
Ujue customer care/ushawishi
Uwe na muonekano/Upendeze/Ujipende/smart (Lazima)
Uwe na Acc ya NMB,CRDB au bank yoyote (Mshahara haulipwi mkononi)
OFISI ilipo "MBEZI MWISHO"
Mshahara "200,000"
Contact : PM ipo wazi
Tangazo Hili lina nafasi za Kazi za Vijana wa 4 Wakiume (wawili) na wa kike (wawili).
Litakua Expired baada ya kutoa taarifa kwa MODS walifunge,ukiona unaweza ku comment kwenye hii post basi jua Mtu/watu hawajapatikna au wamepatikana lakini uhitaji wa wengine Upo.
Ukiona comment section imefungwa unakutana na "NO FURTHER REPLIES FOR THIS THREAD" fahamu Uzi umeshakua expired na wahusika waliokua wanatafutwa wamepatikana na hawahitajiki wengine.
Karibuni Vijana wenzangu wenye nia na usongo wa Maisha.
CONTROLA