Tunaomba uwape neno na akina DeborahHuu ujumbe maalum kwa vijana aina ya benView attachment 469209
Huwezi jua ana malengo gani nayo.Hahahah
Hiyo bahat imempata ndalichako tu, naye baada ya kuwa prof
Ukisha soma BA ed
Inatosha, yaan wewe unakuwa mwalimu.
Angekuwa lecturer sawa.
Huyu ben mnahusianaje? Nampigia Kigwangala vere suni.Napenda the way unavyowasilisha ujumbe wako dada.
Na nashangaa kwanini kila siku ukipotray majina lazima yahusiane na mimi.
Last time was Anna
Today Ben.
Nikiitwa nakausha kama mbowe.Huyu ben mnahusianaje? Nampigia Kigwangala vere suni.



watu wanambwembwe


Nikiitwa nakausha kama mbowe.
Au natafuta wanasheria 8 . 6 wa kigeni 2 wa kigoma.watu wanambwembwe
![]()
Ujumbe umekugusa!!Endelea kujifariji
Ili nifungwe eeeh. ..subiria nikivuta jiwe utakuwa mpambe we bi harusi![]()
![]()
![]()
![]()
Naomba niwe mmoja wa wanasheria.