Kijana auawa na kuporwa Bajaji Kigamboni Dar

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,621
8,411
Kijana aliyetambuliwa kwa jina moja la Sam, amekutwa ameuawa kwenye pori la NAFCO lililopo Kigamboni Jijini Dar aidha taarifa zinadai kuwa kijana huyo ameporwa Bajaji.

bc7ab7e2-01b3-41ed-81c9-d71a0e00c1d8.jpg
Wananchi wamekuwa wakilillalamikia pori hilo kwa kutumika kama kichaka cha kutekelezea vitendo vya ubakaji, uporaji mpaka vitendo hivyo viovu vimekuwa ni kawaida katika pori hilo kwa miaka mingi sasa.
 
habari haijakaa sawa,ni nini wake za watu au?maana haiingii akilini mtu auawe kisa aporwe bajaji,kuna kitu kimejificha kwenye hili,so sad!
Lubede, mkuu uko dunia gani wewe? Watu wanaporwa na kuuawa kwa ajili ya baiskeli ama pikipiki bodaboda, sasa sembuse bajaji!
Mauaji yanayohusisha watu kuporwa pikpiki zao ni mengi sana kwa sasa hapa nchini.
Ingawa inakera na kufikirisha, lakini mauaji "kabila" hiyo yapo.
 
habari haijakaa sawa,ni nini wake za watu au?maana haiingii akilini mtu auawe kisa aporwe bajaji,kuna kitu kimejificha kwenye hili,so sad!
Imekaa sawa kaporwa bajaji ni robbery hii maisha yamekua tight sana mwanza huku watu wanapigwa nondo na kuchomwa vsu kisha kuporwa mali zao
 
Lubede, mkuu uko dunia gani wewe? Watu wanaporwa na kuuawa kwa ajili ya baiskeli ama pikipiki bodaboda, sasa sembuse bajaji!
Mauaji yanayohusisha watu kuporwa pikpiki zao ni mengi sana kwa sasa hapa nchini.
Ingawa inakera na kufikirisha, lakini mauaji "kabila" hiyo yapo.
Maisha yamekua tight now watu walikua wakifanya kilimo ila sasa mvua hamna,machinga wamedhibitiwa sana,vbarua vmekua vigum watu wameamua kujihalalishia ajira za uporaji wakisahau kuwa hata hao wanaowaua na kuwapora pia hali ya kiuchumi ni mbaya kwao
 
Inasilitisha sana. Nani anafurahia kuua kirahisi hivyo n.a. kutumia hiyo Bajaj kwa amani?
 
Back
Top Bottom