happy elias mollel
Member
- Jan 20, 2016
- 10
- 5
usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzako
Ingekuwa ni wewe ningekupa ushauri mzuri sana... ila kwa sababu siyo wewe... utafanya copyright...Ni rafiki yangu. Mimi zaidi humpa ushauri nasaha. Ndo sababu nafahamu mengi
There you are,yaani mume anamtumia mdogo wake kufikisha jumble.Huyo mke ni wewe,sasa nakushauri ni kuwa mumeo ndiyo hakutaki ila ameshindwa kukuambia live so anamtumia Mdogo wake afikishe ujumbe indirect.Pole kwa kurudi kwa wazazi ila dai chako mapema
Ndo maana mnafeli mtihani. Unaweza swali we unatunga Lako ndo unalijibu.
Jibu swali lililouzwa.
kwani ukisema ni mimi hapa kipi kitaharibikaHuyo mke ni mpole na mstaarabu sana.