- Thread starter
- #21
Hawa ndugu wa mume kwa kweli ni tatizo.na kama hutaonyesha msimamo watakuonea hadi ujute.huyo shemeji mwambie kbs akuheshimu.na mueleze wazi kuwa uko hapo kwa ajili ya kaka yake hakuna ziadi.akichukia basi aondoke akapange kwake si anakazi yake sasa shida iko wap?
Hata mm nahisi mleta uzi ndio mke hapo,though ameamua kuzunguka.Huyo mke ni wewe,sasa nakushauri ni kuwa mumeo ndiyo hakutaki ila ameshindwa kukuambia live so anamtumia Mdogo wake afikishe ujumbe indirect.Pole kwa kurudi kwa wazazi ila dai chako mapema
Sasa mtoto kamlea mwenyewe toka foam 1 afu leo aje akufukuze?
Kuna la ziada unatuficha haiwezekani kijana alipopata kazi tu ndio akawa hakutaki mpaka kaka yake awe kimya
Hata mm nahisi mleta uzi ndio mke hapo,though ameamua kuzunguka.
Jifunze kutofautisha watu wapole na wakimya wanafiki na wastaarab si rahisi mke wa aina hiyo kufanyiwa hayo mume asifanye kitu wala ndugu wengine wa mume kama wakwe wasije kumtomua shem asiye na adabu.Huyo mke ni mpole na mstaarabu sana.
Jifunze kutofautisha watu wapole na wakimya wanafiki na wastaarab si rahisi mke wa aina hiyo kufanyiwa hayo mume asifanye kitu wala ndugu wengine wa mume kama wakwe wasije kumtomua shem asiye na adabu.
Chunguza vizuri urudi hapa!
Huyo mke ni mpole na mstaarabu sana.
Huyo mke watakuwa ni wewe au?
huyo dada aende kwa wazazi wake hakuna ndoa hapooJamaa ana umri wa miaka 25 sasa, anaishi kwa kaka yake tangu alipoanza form one hadi sasa anafanyakazi. Kinachoshangaza hapendi mke wa kaka yake aishi pale hali inayosababisha mama huyo kulazimika kuishi na Wazazi wake.
Tangu alipoenda kuishi nao ni vituko kila anapokuja shemeji yake hadi anataka kumpiga akimtaka aondoke.
Chakushangaza kaka yake anatazama tu hali hiyo hasemi chochote.