Kuna kibaka aliniibia kuku Saba kwa mpigo. Nataka apate mchezo mpaka mama yake anitafuteVipi mkuu. Unataka akurushie jini?
Kuna kibaka aliniibia kuku Saba kwa mpigo. Nataka apate mchezo mpaka mama yake anitafuteVipi mkuu. Unataka akurushie jini?
Sijui huyo jini anakwama wapi, akati wahitaji wapo wengi mno, yeye anamfata kijana wa watu hata hanaga hizo.K
Hapo inanyemvuanyemvua unataka uhamie kabisa kwa jini
hao wenyewe wana majini yao, mbna yatafirana majini kwa majini.Bongo kweli nyoso...
Hawa wataalam wa hivi sijui kwa nini huwa hawatoi hizi adhabu kwa wanasiasa waongo waongo...
Yaani unaitisha majini kama hayo yanatembeza ukuni kwa wabunge wote pale mjengoni, inaanza na walioiba kura kwanza...