kisute
Member
- Oct 6, 2010
- 54
- 3
Wana janvi, naomba msaada wenu hapa. Malipo yatolewayo na NSSF kama kiinua mgongo baada ya kutimiza miaka 15 na zaidi ya uanachama hutolewaje? Je, Mwanachama huchukua malimbikizo yake yote kwa pamoja? Mfano; nimechangia Tshs 40,000,000 hadi sasa ndani ya miaka 16. Nimeacha kazi au kuachishwa nitalipwaje?
Nitalipwa fedha hiyo taslim then kiinua mgongo au inakuwaje? Msaada tafadhali kwa waelewa. Nawakilisha.
Nitalipwa fedha hiyo taslim then kiinua mgongo au inakuwaje? Msaada tafadhali kwa waelewa. Nawakilisha.