nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
Anataka uwaziri huyu. Hoja nzuri lakini it matters zimetoka kwa nani. Inawezekana kila alichoandika kiko well calculated. Hawezi kumwangusha baba yake, Rostam, leave aside Kikwete
what makes it being crap?
Unataka mpaka CDM wakisema ndio manakubali?
tunapingana kwa hoja sio chuki binafisi zisizoweza kujenga nchi yetu
Kuna habari fupi kuhusu kesi hizi katika tovuti ya ICSID. Sijaelewa ni nani ni mawakili wa serikali katika kesi hizi.
ICSID - International Centre for Settlement of Investment Disputes
ICSID - International Centre for Settlement of Investment Disputes
Tusipokuwa makini serikali na Tanesco watashindwa tena.
Mh. January Makamba::: Nilikupongeza kwa kumuuliza maswali ya msingi Ngeleja ili ajibu kuhusu janga hili la Umeme.
Kuna tetesi zinasema UNAANDAA ZIARA KWENYE VYANZO VYA UMEME na mwisho wa siku mapendekezo ya kamati yako ni:::
TANESCO WANUNUE MITAMBO YA DOWANS AU KUITUMIA KUTUPA 100 MW sababu tayari ipo Ubungo na inasubiri kuwashwa tu.
Tafadhali sana tena sana huo upuuzi wa hiyo mitambo isiwe moja ya mapendekezo ya kamati. Ahsante
wapo tuliompongeza dogo... sio kila kitu u-generalizeMkuu,Mallaba.
Hiyo Barua ingeandikwa na Mbowe au Dr Slaa, JF yote ingeshangilia.Kwa sababu ni Makamba wa ccm basi ni crap.Shame
MMMNdio maana niliwauliza watu wengine ni kipi hasa kipya ambacho kilikuwa hakijulikani?
Crap!
Ndio maana niliwauliza watu wengine ni kipi hasa kipya ambacho kilikuwa hakijulikani?
hawa jamaa hawana majibu ya msingi kw asasa, kwani hawajui ni nini hata wanachokifanya hapo walipo.
It is very sad having such kind of leadership
Ni mwendelezo uleule wa tabia yetu watanzania ya kuwashangilia viongozi wetu kwa mafanikio hewa. Nilikwisha kushauri huko nyuma tuache tabia ya kumshangilia baba kwa kumnunulia mtoto wake nepi. Tabia ya kushangilia viongozi kwa mambo madogo inawafanya viongozi wetu wawe mazuzu. Mambo aliyoyaandika Januari ni hayahaya ambayo yamejadiliwa hapa JF kwa miaka kadhaa wala sio miezi, sasa ni kitu gani kipya hasa ambacho Januari kakileta au kwa sababu kamwandikia waziri?