Huyo january na ukoo wake wote wa CCM ni craps.hiyo barua mie sijaisoma lakini wanavyonichefua mpaka naona shida kuwasoma
Thanks FLHuyo january na ukoo wake wote wa CCM ni craps.hiyo barua mie sijaisoma lakini wanavyonichefua mpaka naona shida kuwasoma
Mdogo wangu January Makamba
Nimesoma barua yako ya tarehe 3 februayr uliyomuandikia kilaza Ngeleja... Kama hata baada ya kuisoma barus hiyo bado JK atamuacha, tehn nitaamini kuna nguvu kali kuliko za shetani na malaika combined zilizoizunguka serikali yetu; na tungezitumia hizo kuleta maendeleo basi tungekua zaidi ya wachina
Huo ndio ushindi wa wapinzani, kwamba CCM hawasikilizani hata wao kwa wao pale ambapo mmoja analeta hoja ya hajakwakuwa January ni kijana mwenzetu tusimchukie sababu ya baba yake, barua aliyomtumia Ngeleja itachukuliwa kimzaha kama kawaida ya serikali yetu