Kiingereza cha Mlimani City


Thanks for sharing your photo with us.
 

Kuna Ndorobo mmoja tuko naye ofisini alienda kusoma UK for 2 years yaani ni shidaa...anawasemesha mpaka cleaners kiingereza kana kwamba hakuwahi kuongea Kiswahili.
 

Kiingereza kinaongeza hadhi bana. Kinakufanya uonekane msomi, wa kileo, na mstaarabu.

Missy Eliot mbona unajichanganya mwenyewe hapa!
Au kiswahili umesahau?
Manake watu wanene km wewe wasio na kazi memory hupotea haraka sana.
Yake ma quaterpounder Buggers ya 50$ cents yatakuua bado mtoto.
Tumbo kubwa ka mama mjamzito yuko kwenye mgomo wa kutokuzaa?
Dah!
 

Da Amina una mambo weye...
 

braza kahtaan hivi unajua huku vumbini tz mda huu ni mda wa kusaka mpunga wa kununulia ugali?,tafadhari usituumizie mbavu zetu kwa kucheka mkuu.tuhurumie bhana.sitisha kidogo,acha tufanye kazi plz.
 

braza kahtaan hivi unajua huku vumbini tz mda huu ni mda wa kusaka mpunga wa kununulia ugali?,tafadhari usituumizie mbavu zetu kwa kucheka mkuu.tuhurumie bhana.sitisha kidogo,acha tufanye kazi plz.

Pamoja sana Kamanda.

Hawa watoto wa kibongo wanatuchafulia sifa huku.

Unamkuta yuko tikatika halafu kavaa Mtepesho wenye bendera yetu. Natamani nikate zote lkn wazungu wanawalinda sana hawa wasio na kazi.
Kusanya senti mkuu. Achana na huyu nyani.
 

I doubt you understood the irony and sarcasm in the post by Nyani Ngabu.
 
Blaza ongea pia basi kiarabu.

Hapa siongei bali naandika.
Haya kula hio 1-0

ﻳﺠﺐ ﺃﻥ ﺗﻜﻮﻥ ﺃﻧﺖ ﻭﻧﻴﺎﻧﻲ ﻓﻲ ﺍﻟﺤﺐ. ﻛﻦ ﺣﺬﺭﺍﹰ ﻣﻊ ﻓﻴﺮﻭﺱ ﺇﻳﺒﻮﻻ
 
Na kila mara kazi kuiponda America na West, ambako kwa "bahati mbaya" mfumo-kristu umetamalaki

Mfumo kristo ungetawala USA tungekuwa tunanunua makanisa na kuyageuza miskiti kila siku?

Bangi ukichanganya na Umaskini lzm uropoke ovyo.
 
Na kila mara kazi kuiponda America na West, ambako kwa "bahati mbaya" mfumo-kristu umetamalaki

We kijana una Statistics za new Converts wa kiislamu ktk hayo mataifa unauyaita yana mfumo galatia au unatopoka tu?

Bahati mbaya unaishi upareni.
Ungekuwa hapa karibu ningekutaji viwanja flani uje uone tunavyosafisha Uchafu na Kuusambaza Uislamu Kwa Raha Zetu huku.

Na Alhamdulillah mKafiri wa huku akiuona Ukweli tu harudi nyuma,
Sio huko mkishindwa hoja Mnatuitia kina Kova Na Afande mwita na Mabomu ya Machozi na kisingizia watu Ugaidi wa marungu na tochi mbili.

Tukimaliza huku Ugalatia ulipoanzishwa nyie wa huko Africa mtakuja wenyewe kwenye Uislamu. La sivyo Mtakula jeuri yenu.
 

Sijasema wote, bali ASILIMIA kubwa. Read between the lines. Complaining of race ni kama nature hata kwa unnecessary things. Wame fight hadi sheria imewekwa kuwalinda why don't they try harder than enjoying govts food stamps and sections 8s yet complaining all over they are black? No justification kwa wanugu aisee. No justification hawajitumi vya kutosha kama hao uliowataja. Rais mwenyewe is the dumbiest of all ..

Btw umetoa mfano wa Rhoa, weren't they the ones walileta ubaguzi kwa kim zolciak walipoenda south africa that kim haezi kubeba yatima black? while Kim kazungukwa na blacks all over as great friends? Was that necessary? Come on wamarekani weusi ni wabaguzi namba moja nchi hii wakifatiwa na mexicans. Oh i said nasty attitudes, how many nene leakes do we have mitaani? Wengi mno.
Ukikutana na mnugu na una accent atakuuliza direct una accent where r u from, ukitaja africa anauliza kama mnavaa viatu huko, meanwhile ukikutana na white people watauliza in a different way like where are u from and how is it over there the culture etc. kuna difference kubwa na safari ya wanugu bado ndefu. So far na huyo obama anavyovuruga wasahau ngozi nyeusi ikulu kwa miaka mingi ijayo.


Wanakera kuliko kamasi
 

Wote wanataka kuwa wanamuziki au wacheza basketball. Hawana excuses aisee unesema kweli kabisa. Ukikaa eneo la wanugu wengi risasi kuzisikia usiku wa manane ni kawaida sana halafu wakiuliwa huko akina al sharpton namba moja kuandamana kuwa wameonewa
 
Wote wanataka kuwa wanamuziki au wacheza basketball. Hawana excuses aisee unesema kweli kabisa. Ukikaa eneo la wanugu wengi risasi kuzisikia usiku wa manane ni kawaida sana halafu wakiuliwa huko akina al sharpton namba moja kuandamana kuwa wameonewa

Pamoja Clueless14
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…