Kihongosi: Rais Samia hajawahi kuwa mbaguzi, ni mvumilivu, akitukanwa hajibu, CCM haina muda kujibizana

Kihongosi: Rais Samia hajawahi kuwa mbaguzi, ni mvumilivu, akitukanwa hajibu, CCM haina muda kujibizana

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Akiwahutubia wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa:

"Samia hajawahi kuwa mbaguzi. Rais wetu ni mtu mvumilivu; hata akitukanwa, hajibu. Yeye anachojua ni kuchapa kazi kwa maendeleo ya Watanzania.”



 
Akiwahutubia wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa:

“Dkt. Samia hajawahi kuwa mbaguzi. Rais wetu ni mtu mvumilivu; hata akitukanwa, hajibu. Yeye anachojua ni kuchapa kazi kwa maendeleo ya Watanzania.”



mikono yangu koma........nilitaka kuandika kitu...... 😡
 
Akiwahutubia wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa:

“Dkt. Samia hajawahi kuwa mbaguzi. Rais wetu ni mtu mvumilivu; hata akitukanwa, hajibu. Yeye anachojua ni kuchapa kazi kwa maendeleo ya Watanzania.”



Kila mtu ana namna zake za kujibu
 
Afadhali angesema kuwa, hata akiambiwa hajibu, yeye anakazana kinambikia watu kesi, kuteka na kuwaua Watanganyika.
 
Akiwahutubia wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa:

“Dkt. Samia hajawahi kuwa mbaguzi. Rais wetu ni mtu mvumilivu; hata akitukanwa, hajibu. Yeye anachojua ni kuchapa kazi kwa maendeleo ya Watanzania.”



Kihongosi acha unafiki wa kihehe! Huyu bibi wa nywinyinywi na nywanywanywa na mipasho ile ya kipashkuna Kama hukuisikia au nawe ulikuwa chura kiziwi ni sawa.
Samuya hajawahi kunyamazia matusi na kebehi na huenda ule uprofesa wake ni WA matusi na nyodo!
Ubaguzi umekaa vyema Kama shungi lake jekundu. Ona teuzi zake zilivyojaa wanafamilia na machawa. Kitetee chama chako na siyo mwenyekiti wako maana ataondoka na chama kitabaki!
 
Bora hata angejibu tu kuliko adhabu wanayopewa!!
 
Back
Top Bottom